Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
-
- #81
Kazi ipoπInategemana Nina Nia gani na wewe ....Kama nilikufanya wa kutafunwa tu nasamehe uendelee kuhidumiwa ili niendelee kukitafuna kikojoleo chako.....
.ila Kama nilitaka kukufanya mke itabidi upigwe chini.
Bora nikae kimyaaaπΆπΆπΆπππHuo ndo ule muda muafaka wa kukaribisha mizimu sasa!
In real situation siwezi baki na huyo mwanamke.
The day we get pretty..πUjuaji huo umeanza liniπ
Unataka kusema nini mamaa pretty..?Bora nikae kimyaaaπΆπΆπΆπππ
Maandiko yanaeleza :Ufu 2:10Wakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo..
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
Hakuna upendo hapoUhalisia ni kwamba binti anampenda sana kijana sema ndo ivo tu
Hata wanawake wanasema hivyo pia
Vizuri sasa naona tunapoelekea neno kucheat halitakuwepo kwenye mahusiano.Pande zote ndo tunaamini hivyo.. hakuna mwanaume au mwanamke wa peke ako
Sasa kiume nini wakati wee unachojali nikupewa mgao wako wa mbususuKwa hiyo hata kama ni chapa ilale huumii kuwa umechapiwa mkuu?
Ndio wewe huyo[emoji1787]Dah mimi huyo? Nijikute tu
Sasa hapo kupendana sana kuna toka wapi ndugu, hapo upendo haupo, maana upendo huvumiliaWakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo..
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
View attachment 1983144
Wacha niendelee na shughuli nyengine mimi hii
πππThe day we get pretty..π
Mengine siri yetu mpenzi πππ ila refer nyuzi zakoππUnataka kusema nini mamaa pretty..?