LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Sifa ya ukorofi. A mister No Nonsense.
HII ndio sifa Bora kabisa Kwa wakwe zako.
Wakwe zako wanatakiwa wajue kwamba wewe mwanaume uliye muoa binti Yao.
1. Ni mkorofi Sana.
2. Hutaki Nonsense.
3. Mbinafsi/ mchoyo.
4. Hupendi kusaidia ndugu wa Pande zote mbili si ndugu wa ukoo wako Wala ndugu wa mkeo.
HII itakusaidia kuihudumia familia yako vizuri bila kuipuna/ kuipunja...
Never be a nice guy because always when ur playing a nice guy people will always think that ur a foolish guy and at the end of the day watoto wako ndio watakao pata tabu.
Ukijifanya mwema Sana ukweni nyumba yako inaweza kugeuzwa kuwa guest house Na wewe ndio utakae kuwa bodi ya mikopo ya elimu Kwa ndugu wa ukoo wa mkeo.
IPO siku utaambiwa kuna shemeji yako mmoja Bana siku hizi anaendaga kujiuza Ambiance Sasa tunataka kumrudisha shule tumepata chuo pale Amazon College tunaomba utusaidie ada tumpeleke akasome pale ili aache Tena kwenda kujiuza.
Acha kujipendekeza ukweni.
Never be a nice guy because a nice guy means a foolish guy.
A nice guy is always after two things.
1. Approval and
2. Validation.
Tafsiri yake ni kwamba unawapa watu wengine umuhimu ambao hujipi wewe mwenyewe.
Ur loosing urself in the process of trying to please other people. What a foolish guy ur .
Personally I don't want to be approved or validated by anyone.
HII ndio sifa Bora kabisa Kwa wakwe zako.
Wakwe zako wanatakiwa wajue kwamba wewe mwanaume uliye muoa binti Yao.
1. Ni mkorofi Sana.
2. Hutaki Nonsense.
3. Mbinafsi/ mchoyo.
4. Hupendi kusaidia ndugu wa Pande zote mbili si ndugu wa ukoo wako Wala ndugu wa mkeo.
HII itakusaidia kuihudumia familia yako vizuri bila kuipuna/ kuipunja...
Never be a nice guy because always when ur playing a nice guy people will always think that ur a foolish guy and at the end of the day watoto wako ndio watakao pata tabu.
Ukijifanya mwema Sana ukweni nyumba yako inaweza kugeuzwa kuwa guest house Na wewe ndio utakae kuwa bodi ya mikopo ya elimu Kwa ndugu wa ukoo wa mkeo.
IPO siku utaambiwa kuna shemeji yako mmoja Bana siku hizi anaendaga kujiuza Ambiance Sasa tunataka kumrudisha shule tumepata chuo pale Amazon College tunaomba utusaidie ada tumpeleke akasome pale ili aache Tena kwenda kujiuza.
Acha kujipendekeza ukweni.
Never be a nice guy because a nice guy means a foolish guy.
A nice guy is always after two things.
1. Approval and
2. Validation.
Tafsiri yake ni kwamba unawapa watu wengine umuhimu ambao hujipi wewe mwenyewe.
Ur loosing urself in the process of trying to please other people. What a foolish guy ur .
Personally I don't want to be approved or validated by anyone.