Mwanaume uliumbiwa kutoa

Mwanaume uliumbiwa kutoa

Huu utapeli wenu tulishaustukia kitambo Sana.

Kuna wanawake Wanapenda hela mpaka unajiuliza Kama huyu mtu anapenda hela kiasi hiki si angesema tu kwamba anauza nikaelewa moja kwamba tubabadilishana mbususu kwa pesa?

Ukimwendekeza mwanamke lazima ufe masikini.
Yani unashangaa mtu anakuomba ela j3-jmoc kah afu kitu unapata ni mbususu si bora ununue u save hela.
 
Mwanaume lazima afanye kazi kwa ajili ya mwanamke wake. Mwanamume ambaye hayuko tayari kutoa hatakiwi kumiliki mwanamke.

Kuna huu ujinga unaojitokeza siku hizi kwa wanaume kusubiri wanawake watoe.

Hii ni kinyume cha maadili ya uanaume, mwanaume aliumbwa kutoa kila kitu kwa mwanamke wake. Mahaba yote, hela zote pamoja na mbegu zake za kiume lazima atoe kwa mwanamke wake.
Ombaomba kasoro kibakuli na round hii mtaf*rw* hadi puani kmmk
 
Back
Top Bottom