Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Mbona wacheza mpira wapo wengi au uwanjani hupendi kuangalia[emoji23] [emoji23]hahaha wewe una wivu tu !binafsi mie huwa navutiwa kama mwanaume ana mguu wa pensi umepinda kidogo !awww!
Mbona wacheza mpira wapo wengi au uwanjani hupendi kuangalia[emoji23] [emoji23]
Labda kwao mboga saba we kwenu mboga moja [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Dah....kuna wengine sura laini....akiwa dirishani unaweza kumtokea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
[emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46]Kwahiyo huu wangu nao wa kishoga?? Duh
Vaa magome ya miti tu ndio utakuwa sio shoga lakini vinginevyo nawe utakuwa tu gasho[emoji102] [emoji102]Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]