Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
0d6698acc4416281720a88c029d3e9f6.jpg
 
Mashoga wanavaa kaptula sio.. ok pia, wanafunzi wote wanavaa kaptula, wachezaji wa mpira wa miguu, poa.
 
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kuvaa Suruali Sana Kuna Punguza Nguvu za Kiume Siye wazee wa Pwani Tunavaa Misuli na Vizibao Tukibadili Ni Pensi Nyanya heluah!!
 
Hv kipensi changu kinakuhusu nini labda? Acha watu wavae wanavyo jisikia ukitaka peleka mswada wanaume wavae suruali hadi shule za msingi.. Ata jeshini...

Tafuta pesa acha kufuatilia watu
 
Back
Top Bottom