Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hahaha eti guu la bia halafu laini
 
Au unakuta kimembana kinoma,af juu ya magot,..ule kwel ni ushoga,nguo za wingereza zile,ndo asili yake,ni za mashoga,fashionista weng ni mashoga so tegemea nguo zao nying kua sokon
 
Back
Top Bottom