Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Hatari sana ..yaani nimechaka kwa sauti

Basi na mimi natuma
IMG_20180102_213508.jpg
IMG_20180102_213503.jpg
IMG_20180102_213456.jpg
IMG_20180102_213415.jpg
maana vyuma vyenyewe vimekaza...
 
Aisee mkuu japo ww ni mwanaume mwenzangu lkn siwezi lala na ww kitanda kimojaa [emoji13][emoji39]

Huyu jamaa amefanya fujo sana mimi nimeshindwa kuhamisha macho kwenye vinyweleo nimejikuta nazoom labda nitaona kwa juu kidogooo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mtu mwenye akili timamu anajua kuwa binadamu huumbwa na Mungu hivyo alivyo.Watu wenye mtindio wa ubongo huchunguza sana maisha ya wanaume wengine na kusahau kuwa wao wana maisha vao wanayotakiwa kuyashughulikia.
 
Hali inakoelekea hata thread za vibamia zitaanza kupata picha, watu wataweka dushe zao kuthibitisha sio vibamia weraaaa weraaaa can't wait for the day!!!!!!!

Ehehehehehehe weee mwana weee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Bro mlaumu muumba aliyekuumba na miguu myembamba kama spoko
 
Back
Top Bottom