lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Ahsante Nakuja kukuposaHahaha na unajikubali, nimekupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Nakuja kukuposaHahaha na unajikubali, nimekupenda
mie mhenga!sidanganyikiPonea yako hiyo
Jilete tu, ukija kuhamaki unachechemeaAhsante Nakuja kukuposa
Wahenga ninawapenda sana sio wasumbufu, na huwa hautumii nguvu nyingi za kudanganya.. mi nakuambia kweli tuumie mhenga!sidanganyiki
Malizia sentensi. Ulichoshtukia ni nini.?Nimekustukia mkuu, hii style yakuweka guu lako lionekane lina nyama nyama, kama zile style za wadada wa naojibinjua kuonesha wowowo
Aisee mkuu japo ww ni mwanaume mwenzangu lkn siwezi lala na ww kitanda kimojaa [emoji13][emoji39]
Mtu mwenye akili timamu anajua kuwa binadamu huumbwa na Mungu hivyo alivyo.Watu wenye mtindio wa ubongo huchunguza sana maisha ya wanaume wengine na kusahau kuwa wao wana maisha vao wanayotakiwa kuyashughulikia.Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hali inakoelekea hata thread za vibamia zitaanza kupata picha, watu wataweka dushe zao kuthibitisha sio vibamia weraaaa weraaaa can't wait for the day!!!!!!!
Ha ha ha usimamisheMalizia sentensi. Ulichoshtukia ni nini.?
Wenye FITO zaoHatari sana ..yaani nimechaka kwa sauti
Basi na mimi natuma View attachment 666612View attachment 666613View attachment 666614View attachment 666616 maana vyuma vyenyewe vimekaza...
Mkuu unataka nipige nimesimama.?Ha ha ha usimamishe
Yaah ili tuone vizuri ufito wakoMkuu unataka nipige nimesimama.?
Hahaaa.. We jamaa una majungu. Eti fitoWenye FITO zao
Bro mlaumu muumba aliyekuumba na miguu myembamba kama spokoSiku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Nini mkuu,pozi baada ya pilauMweh!!!!!
Sa ka unajua unaniuliza vya nn.....????Mimi najua je wewe mwenzangu wajua. ????
Nimecheka sana daahHahaaa.. We jamaa una majungu. Eti fito
Hahaha mpaka nawe umepost[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
![]()
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] majibu mubasharaSa ulitaka anyooke ka maiti.....???