Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,625
Wewe ushatoa sababu kwakua Mguu umekomaa una nywele huezi vaa ikimaanisha usingekua navyo ungevaa,acha wivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa BK hili guu la kukanyagia pombe!Kwahiyo huu wangu nao wa kishoga?? Duh
![]()
Mkuu hapa hatushindani. Mguu wangu unaendana na uanaume wanguYaah ili tuone vizuri ufito wako
hahaaa ulipita huku...Hahaha basi kwa style hii wacheza mpira saiv wataanza kuvaa suruali sio kaptura tena,waache wenzio wavae wanachojisikia
Mianzi hii wapeleka wapiHahaaa.. Mkuu wewe humuwezi manzi yangu hata kidogo tena kwa pozi izo. Utaishia kumchafua tu.
![]()
![]()
*****..
Basi mi nikajua mnashindanisha fito zenu maana kuna mtu kapost kwa fujo, angle zoteMkuu hapa hatushindani. Mguu wangu unaendana na uanaume wangu
Shona muamala nikupe namba yakeNjoo pm mkuu unipe hata dadako [emoji13][emoji13]
Ww unazani kila mtu amepitia maisha ya kuchoma mkaa na kuchimba chumvi..?Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
duuuhhh huu hapana aiseee
Kweli aisee hawana tofauti na wale wadada wanaijiuza pale sinzaSiku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mkuu una gout!!!?
Bora mianzi yangu. Kuliko zile champaigne zako. HahaaaMianzi hii wapeleka wapi
[emoji1] [emoji1] aiseeduuuhhh huu hapana aiseee
ntakutag....Ehehehehehehe weee mwana weee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
hahaaa siumeuona mwenyew[emoji1] [emoji1] aisee
Aki tutajionea mengiVipi mguu wangu huo unafaa?![]()