Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

nimecheka kifala kwenye huu uzi. watu wana miguu ya biko aisee. nyie mlioweka miguu yenu msisahahu kutaja mkoa mnaotoka ili tufanye konklusheni kama ni ya dar au ya mkoani.
 
Watu wanajiona wana miguu kumbe ni tu guu tufito, tena hao wenye miguu minene mi nene ndio shida, mguu wa kiume tangu lini ujae jae mafuta asee em sema mwenyewe...
Daah mi mbavu zinauma jombaa nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom