lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah Leo humu vitukoEm cheki goti ilivovimba asee, huyu jamaa anahitaji diagnostic ya gout
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah Leo humu vitukoEm cheki goti ilivovimba asee, huyu jamaa anahitaji diagnostic ya gout
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee mkuu japo ww ni mwanaume mwenzangu lkn siwezi lala na ww kitanda kimojaa [emoji13][emoji39]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah Leo humu vituko
Sa mbona wataka kuanza kuvifuga,means siku zote unavinyoaga.[emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] Sinyoagi
Bora angepost tu moja ya juu,maana hiyo ya chini imedhihirisha jamaa anamiliki mianzi(bamboo tree)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nacheka san
Sa mbona wataka kuanza kuvifuga,means siku zote unavinyoaga.[emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] Sinyoagi
Adi kiunoni kwan ni beberu aaaiiii hahaha nmecheka sanaHaha kweli jolie, dem wangu wa zamani alikuwa navyo.. na nilikuwa navipenda na alilijua hilo.
Ni nature tu ya mwili bwana
Waweza jikuta uko mjinga kwa kucheka[emoji23][emoji23]hawa wenye miguu wamejua kunivunja mbavu leosina neno zaidi ya kusema asanteni kwa kunichekesha
Adi kiunoni kwan ni beberu aaaiiii hahaha nmecheka sana
waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogoMhhh sio kwa huo umbea [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogo
waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogo
Hahaha mishikio ya ndoo nhi nhi nhii oh my ribs[emoji23][emoji23]waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogo
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeye alikua navyo ugokoni hadi upajani na mikononi kidogo, ila sio vile vilivyo komaa kama vyangu, uzuri vilikua laini vinavyoonekana
Daah mi mbavu zinauma jombaa nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3]Watu wanajiona wana miguu kumbe ni tu guu tufito, tena hao wenye miguu minene mi nene ndio shida, mguu wa kiume tangu lini ujae jae mafuta asee em sema mwenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23]