Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nagwigwaga bageshi. Yashilaga lulu nkoyi. Wabeja !!!nadhan umeqoute vby kaka! mie mwanamke nilimkwot kwakusema omg! nale nkema gete onene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nagwigwaga bageshi. Yashilaga lulu nkoyi. Wabeja !!!nadhan umeqoute vby kaka! mie mwanamke nilimkwot kwakusema omg! nale nkema gete onene
Dah... Umewahi kukutana na showger?[emoji87]Punguza wivu mkuu wengine wamebarikiwa u HB na usafi we kama sura ngumu na mchafu itabidi tu upambane na hali yako
Nawajua mkuu hao wala hawajifichi labda awe bisexualDah... Umewahi kukutana na showger?[emoji87]
Hahahaha vp wanawake wavae?sasa kam una tumbo kama pipa na miguu kama ufyagio unavaaje hiyo kaptula...??
ila sio poa kuvaa pensi iliyo juu ya goti kwa wanaume,ipite goti kdg.....
Peleka huko ngoko zako fungu la kukosa weye!!Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
PointMtu hajiumbi, ukikuta mwanaume ana mguu kama wa kike jua kua 'hakujiumba' yeye. Na ukikuta mwanamke ana mguu kama wa kiume jua kua 'hakujiumba'
Ukiwa mimba tumboni kwa mama yako 'hauchagui' aina ya viungo uvipendavyo
Wavaa pensi nawapenda mno
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah....kuna wengine sura laini....akiwa dirishani unaweza kumtokea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
Ahah ah Ahah hahahahah, viumbe mna maneno utafikiri radio Tanzania ya SW before FMMzee acha tuvae tu pensi maana Dada zenu wanahusudu sana kuiona miguu yetu laivulaivu ikivyo sexy.
Wewe kama unavinyweleo kama katuni za bwana chezo huku kigimbi kimekujaa kama umefunga Gunzi kwenye mguu au betri la tiger niseme tu pambana na hali yako maana ni dhahiri pensi unatamani kuvaa ila miguu yako sio rafiki.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zile kicks na pensi zinapendeza sana mkuu!Mimi nshazeeka sasa,
Hata picha sijipigi tenaa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha,Zile kicks na pensi zinapendeza sana mkuu!
Aisee mimi mguu ungeruhusu ningevaa sana pensi ila ndio hivyo....!Hahahaha,
RRONDO unazingua bwana.
Mimi nilikuwa navaa sana,Aisee mimi mguu ungeruhusu ningevaa sana pensi ila ndio hivyo....!
Umeacha? Kwanini?Mimi nilikuwa navaa sana,
Miaka hiyo