Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Wakata nyanya na vintunguu tutawaona sasa
Hivi ndio mwenye ule mguu nyororo alafu amekunyata, hahahaha
Sidhani ni huyu wa mguu nyororo, huyu ni wa ule wa kuning'inia ulopendwa na wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakata nyanya na vintunguu tutawaona sasa
Hivi ndio mwenye ule mguu nyororo alafu amekunyata, hahahaha
HahahahaSidhani ni huyu wa mguu nyororo, huyu ni wa ule wa kuning'inia ulopendwa na wengi.
Eye!Hahahahah jomoni endeleeni kutupia mapicha picha bwana..yaani mmejua kunichekesha leo hahahah
Duuuh hatari asee,, ilikuajeUmepata shoruba huo mkuu, goti lilinyofoka lote hilo, huo ndo mguu wa mwanaume
Evelyn unamjua john bravo?Mwili mkubwa mguu mdogo mmh
Live si atakua kama mnazi?
Umeielewa eeSasa tunaonyeshwa mikono ya kiume, ama! 🙂
Ndo huyo kaweka mguu juu ya meza kaona haitoshi aweke na sura sijui baadae ataonesha nini tena, au kiba100 ngoja tuoneOhh!, kumbe ni huyu..
Sikujua anaongelea mguu gani. Hahah!, hawa watu ni shiiider!
Aissee naomba uweke wako brazaaa nitafurahi mno,nataka nione yaliyomo yamo ha ha haa au nawe kama mie una tumiguu kama spoku za bike...Eye!
Unaona Magulu ya wanaume hayo ???
Kwanini unasema ivyo mkuu?We ni kafupii
Haya poaTeh tutaongeapo vizuri basi kesho
Ndo huyo kaweka mguu juu ya meza kaona haitoshi aweke na sura sijui baadae ataonesha nini tena, au kiba100 ngoja tuone
Kweli mwaka mpya mambo mapyaHahah!, naona wanaume wa JF wameuamulia haswa 2018, sio kwa kasi hii!
wow !mizuri kweli kweli haijakomaa kama ya masolexAfadhali, mie nachekwa na yangu, pamoja kuwa na makovu wanadai eti nimechukuwa ya mama!
Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli via JamiiForums
View attachment 668381
Kuuumbe!
Unanishawishi nibadili id yangu ya mbalizi1 isomeke shetani ww MBITI......, ushindwe na ulegeeehhahaha shetan shindwa tena pita hvi
Unanishawishi nibadili id yangu ya mbalizi1 isomeke shetani ww MBITI......, ushindwe na ulegeee
Shosti ako yupi? au unamzungumzia fundi mwenziohahaha sijui unanitakia nn kwa shost angu !dah
ahaa ndio fundi mkuuShosti ako yupi? au unamzungumzia fundi mwenzio
[emoji3] [emoji3] [emoji3] nimeona kala ban sijui kalikoroga wapi demi baaanaahaa ndio fundi mkuu