Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Napiga sana pensi za khaki. Mguu full nyoya na nakata mitaa!
 
sasa kam una tumbo kama pipa na miguu kama ufyagio unavaaje hiyo kaptula...??
ila sio poa kuvaa pensi iliyo juu ya goti kwa wanaume,ipite goti kdg.....
 
Peleka huko ngoko zako fungu la kukosa weye!!
 
Mtu hajiumbi, ukikuta mwanaume ana mguu kama wa kike jua kua 'hakujiumba' yeye. Na ukikuta mwanamke ana mguu kama wa kiume jua kua 'hakujiumba'
Ukiwa mimba tumboni kwa mama yako 'hauchagui' aina ya viungo uvipendavyo
Point
 
Ahah ah Ahah hahahahah, viumbe mna maneno utafikiri radio Tanzania ya SW before FM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…