my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Hivi mwanaume mzma una anzaje kuvaa suruali imekubana kama mwanamke jaman? Wengine wanavaa suruali zinabana mpaka vimatako vinachoreka kwa suruali halafu hawavai chupi.
Sasa umkute ana matako makubwa halafu amekupea mgongo kama hujaona sura unaweza ukadhani ni Mwajuma kumbe ni Ali au James.
Sijui nani aliwaambia mkivaa hivo mnapendeza na kama yuko aliyewambia hivo basi amewadanganya hata hampendezi.
Sasa umkute ana matako makubwa halafu amekupea mgongo kama hujaona sura unaweza ukadhani ni Mwajuma kumbe ni Ali au James.
Sijui nani aliwaambia mkivaa hivo mnapendeza na kama yuko aliyewambia hivo basi amewadanganya hata hampendezi.