my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
khantwe dear kuna watu wanavaa hovyo sana ukiwaona utawahurumia😂 kuna jamaa nilikutana nae kavaa soaks nyekundu na mkononi simu ina kasha jekundu na chini ana viatu vyekundu juu akapiga shati nyeupe kiuno kina mkanda wa kijaniBila picha huu ni uzushi tu wenye lengo la kuwadhalilisha kaka zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka picha.Hivi mwanaume mzma una anzaje kuvaa suruali imekubana km mwanamke jaman? wengine wanavaa suruali zinabana mpk vimatako vinachoreka kwa suruali halafu hawavai chupi.Sasa umkute ana matako makubwa halafu amekupea mgongo kama hujaona sura unaweza ukadhan ni mwajuma nchokonoe kumbe ni ali au james. sijui nani amewaambia mkivaa hivo mnapendeza na km yko aliewambia hivo basi amewadanganya hata hampendez.
Cheupeee i miss youUkute kavaa hivyo ana vipaja, vimiguu kama kuku.
Miss too aliyekuficha mwambie namsalimia.cheupeee i miss you
leo nitazifikisha salamu dear maana kila siku unamsalimia simwambii😅Miss too aliyekuficha mwambie namsalimia.
Mwambie tupo wawili sio afaudu peke yake 😄😄leo nitazifikisha salamu dear maana kila siku unamsalimia simwambii😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani jamanikhantwe dear kuna watu wanavaa hovyo sana ukiwaona utawahurumia[emoji23] kuna jamaa nilikutana nae kavaa soaks nyekundu na mkononi simu ina kasha jekundu na chini ana viatu vyekundu juu akapiga shati nyeupe kiuno kina mkanda wa kijani
Hii comment imenimaliza nguvu🥰 hivi kumbe namiliki chombo ka weweMwambie tupo wawili sio afaudu peke yake 😄😄
Nilishindwa hata kucheka ikabidi nimuhurumie bishoo yule😂
Yes unamiliki mpendwa 🙂🙂Hii comment imenimaliza nguvu🥰 hivi kumbe namiliki chombo ka wewe
Jamani😍,vipi lakini mbona mpaka leo sijaona picha kuleeYes unamiliki mpendwa 🙂🙂
Kule nimestaafu mpendwa nimewaachia wa kishuajamani😍,vipi lakini mbn mpk leo sijaona picha kulee
unataka unambie walikufanyia tambo ?Kule nimestaafu mpendwa nimewaachia wa kishua