Mwanaume unaanzaje kuvaa suruali za kubana?

Wengine wana mapaja makubwa na makalio kabisa basi aibu unaona wewe mtazamaji[emoji134][emoji134][emoji134]

Ila sasa ukija kwa hawa vimbau mbau na matege yao ndio daaaaaah!!
 
Ungemstua msela usimuache aabike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haituhusu Sisi
wapiga Suruali za vtambaa na mashati flani hivi ya Kbahama.
 
Teh teh..Huyu nilikutana nae siku moja..Sema chini alikuwa na Sendo.
khantwe dear kuna watu wanavaa hovyo sana ukiwaona utawahurumia[emoji23] kuna jamaa nilikutana nae kavaa soaks nyekundu na mkononi simu ina kasha jekundu na chini ana viatu vyekundu juu akapiga shati nyeupe kiuno kina mkanda wa kijani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ