Mwanaume unaemkataza mkeo kufanya kazi unafanya makosa makubwa

Mwanaume unaemkataza mkeo kufanya kazi unafanya makosa makubwa

Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Upo sahihi kbsa mkuu
Wanawake wengi hata wafanye kazi za kulipwa mamilioni ya pesa, lakini ndani ya nyumba wanaishi kwa kutegemea kila kitu kwa mwanaume.

Mshahara wake ni kwa ajili ya makeup, na kutunzia mashosti kwenye kitchen party... Mwanamke wa namna hiyo ni bora akae ndani alee watoto!
 
Sio vibaya mwanamke kutafuta pesa ila hutakiwi kumruhusu akuzidi kipato maana hapo ndo dharau zitakapoanzia.
 
Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.
[emoji23][emoji23]Aisee mkuu nimependa Sana mwanamke akae nyumbani basi atakama ni kazi iwe part time kama masaa 2 au 3 ila full time ni ujinga.

Utapataje raha za mke kama anafanya kazi full time.Unarudi nyumbani umechoka mistress hakuna wa kukupa hata pole wote mmechoka hujaandaliwa maji hapo chakula Bado hakijapikwa.Bora nipe form 4 Failure anitreat kama mume na sio kuoa mwanamke atakayekuwa kama mwanaume
 
Inategemea na muonekano wa mke; kuna wengine ni sawa na umpelekea boss chakula.
Kama pesa ipo asimamie kampuni/biashara za familia.
 
Kuna mjomba alienda kazini kwa mke wake akakuta machekibobu wanajadili tako la mke wake kama ni og au mchina kachukia hataki aendelee na kazi.Mi wangu atafanya tu na nshamuombea hizi ajira zilizotangazwa.Njaa sio jambo la mchezo.
 
Wanaume wa siku hizi au Vijana ni hovyo sana, wazee wetu kipind cha nyuma waliweza kutunza familia bila kina mama kufanya kazi, walitunza watoto na ndugu zao nyumba moja tulikaa mpaka 11 na tulikula na kwenda shule. Kazi ya mwanamke ni kutunza familia na kuzaa sio kufanya kazi ili ajifunze siku ukifa.

Wekeza asset kwa familia na watoto wako habar ya kufa muachie mungu, timiza wajibu wako mwanamke abebe mimba atunze nyumba na mambo mengine ya kike mwanaume tafuta kwa jasho
 
Wanaume wa siku hizi au Vijana ni hovyo sana, wazee wetu kipind cha nyuma waliweza kutunza familia bila kina mama kufanya kazi, walitunza watoto na ndugu zao nyumba moja tulikaa mpaka 11 na tulikula na kwenda shule. Kazi ya mwanamke ni kutunza familia na kuzaa sio kufanya kazi ili ajifunze siku ukifa.

Wekeza asset kwa familia na watoto wako habar ya kufa muachie mungu, timiza wajibu wako mwanamke abebe mimba atunze nyumba na mambo mengine ya kike mwanaume tafuta kwa jasho
Nashangaa Vijana wa sahivi
 
Upo sahihi hata kama sio kufanya kazi ila shughuli ni muhumi kuna mda lazima awe na shughuli ili mradi mwili ufanye kazi ..

Sema naelezea uhalisia uliopo maana nimefanya sana na wanawak section moja tukiwa hatuna backup plan ya wafanyakazi wengine .
Sema nn maisha ni kusaidiana huyu mdada ndani miaka 4 alijifungua mara mbili sasa jumlisha ile miezi sita sijui ya maternity leave plus mkiwa mnafanya kazi mara utasikia mtoto anasumbua basi anaondoka naona ana mfanyakaz ila mtoto akiumwa lazima asepe ni kwamba hayupo active kazini.


Kwa mtazamo wangu wanawake watu wazima na wana watoto wakubwa ni wachapakazi wazuri na wana akili sana hawanaga mambo mengi kama wafoto wao ni wakubwa tayar..

kwa miaka hii ya vijana wa hovyo bora wafanye kazi maana vijana wanazalisha tu wanakimbia hata awe ameoa mahitaji ya familia hatoi yaani vurugu kabisa acha wakafanye kazi.
 
Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.
CONTROLA
Your a real a Controla..and that a damn character for a Man..You have said it all🥰Your the best Man ever on Earth🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔨🔨🔨🥰🥰🥰🥰🥰🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
 
Muache afanye kazi, usiitolee macho pesa yake. Ukiashaanza kuitolea macho pesa ya mwanamke unakaribisha migogoro.
HAKI SAWA kwa kila jambo kifamilia ila si pesa za Ke.

Huu si ukichaa?

Ke anafanya kazi kwa masilahi ya nani sasa ikiwa anayejenga naye familia hanufaiki chochote na hiyo kazi yake?
 
Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.
Tafsiri sahihi ya Great Thinker [emoji119]
 
Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.

Good
 
CONTROLA
Your a real a Controla..and that a damn character for a Man..You have said it all🥰Your the best Man ever on Earth🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔨🔨🔨🥰🥰🥰🥰🥰🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
Ukweli na tuuseme,haya mengine watu wanaongea tu

ila Ukweli binafsi yangu Ni huo,Jukumu la Mke linajulikana na la Mume linajulikana,

watu na Ubishi tu ila mwanamke akikubali Jukumu lake na Mume akikubali Jukumu lake,

Hizi mambo za ushoga wala tusingezisikia masikioni mwetu miaka ya leo,shida wanawake wabishi

wanakutana na wanaume wasiojua majukumu yao,Matokeo ndiio hayo madhara yote yanaonekana kwa watoto.
 
Sisemi mke kufanya kazi za kuongeza kipato ni mbaya,la hasha

ila nasema hivi,nikiwa na pesa (ile pesa kweli kweli) nitamfungulia

mke biashara ambayo ataingia baada ya kumaliza kazi za nyumbani

na huko kazini atakaa masaa machache tu,atarudi nyumbani Kulea na kuandaa mazingira

ya mimi "mume" nikirudi nyumbani nikute ile atmosphere ya nyumba iliyo na MAMA/mke

Kazi ya mwanamke kutoka nyumbani 12 asubuhi to 1 usiku,Kwangu ni NO

Kazi ya mwanamke kwenda kupambana (kama msemavyo) kurudi kwangu mbili usiku ni NO

Ki ufupi siafiki u busy wa kutafuta kipato kwa mke wangu,naruhusu tu afanye biashara (kwa muda huo mchache)

ili tu asiwe bored na pesa atayopata kwenye hiyo biashara ataamua mwenyewe aifanyie nini

Ushoga umezidi kutokana na mwanamke kuruhusiwa eti kupambana,Watoto wanajilea wenyewe.

Dunia inaharibika kwasababu ya mwanamke kupewa majukumu ya mwanaume

Mimi wanangu hawawezi haribikiwa na nitaanza na mama yao,Atoke nyumbani watoto wameshaenda shule

ARUDI nyumbani watoto hawajarudi shule,ili wakirudi wachafu awazabue,wakirudi na kasoro awanyoooshe

Kazi pekee ya mama ni FAMILIA,kAZI PEKEE ya BABA ni kuitunza familia...Maswala ya kifo yapo ila kila mtu

asimamie eneo lake,BABA kuitunza Familia, MAMA kulea Familia,Kwisha..U supa woman sio kwangu mimi.
Kabisa kabisa
 
Ukweli na tuuseme,haya mengine watu wanaongea tu

ila Ukweli binafsi yangu Ni huo,Jukumu la Mke linajulikana na la Mume linajulikana,

watu na Ubishi tu ila mwanamke akikubali Jukumu lake na Mume akikubali Jukumu lake,

Hizi mambo za ushoga wala tusingezisikia masikioni mwetu miaka ya leo,shida wanawake wabishi

wanakutana na wanaume wasiojua majukumu yao,Matokeo ndiio hayo madhara yote yanaonekana kwa watoto.
CONTROLA

Your a true meaning of Great Thinker🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
 
Naungana na mtoa mada. Maisha ya kiafrika yanaeleweka. Nimesoma kwa shidaa ili nije kukomboa familia,,,hewala napata mume wenye hela kwa sababu anauwezo wa kunihudumia eti anishauri niache kazi. Kama mwanamke nitafanya yote atayoniambia ila kuacha kazi hapana aiseeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom