Haya sawa mi natumia konyagi since 2002 na siwezi kumpangia mtu kinywaji .Sawa nimekubali,sikupangii,
Ila tukikaa wanaume tunakunywa bia...usisogee
Wakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?
Povu ruksa, Nishajikoki mabomu.
Nitafikiriapata tu, ila kisiwe na kilevi....
we unafuata ushauri wa huyo? zakuambiwa changanya na zako mkuu ila flyfish achaMwambie Half american akueleww huyo
Too hell. Ni uwongooooo,, huo ni uwongooo.. wewe muongooo bwanaaaa. Na hapa bia umeongelea ngumu ni za mtaani na tu bar bar tuchafu. Unaongelea ngumu.Mshamba wewe ujatembea,
Kae Beach, six degrees, full moon party, ratatuu, na Viwanja kibao..lager buku 10...ni kawaida..wanaojua watakwambia..
Tembea uone ngedere we.
Naona unaelezea sifa zako...
Anyway njoo mkoani,tunakunywa lager hapa.
Hizo watu wanakunywa sababu itaisha mapema kabla kuwa flat.Wakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?
Povu ruksa, Nishajikoki mabomu.
Hennessy ni cognac,Haya sawa mi natumia konyagi since 2002 na siwezi kumpangia mtu kinywaji .
Nishawanunulia na nitaendelea kuwanunulia my close circle whatever they feel to drink nakaa na watu wanaagiza maji wakati wengine wanaagiza alcoholic drink.
Mkuu nakushauri soma kitu Kwa kiingereza wanaita diversity maisha yatakuwa mepesi sana kwako
Kuna jamaa yangu anakampuni ya ukomytactor class v yeye anatumiaga safari ila ukiwa naye analipa bill za waliokunywa hennes sijui majugeraster and likes ila yeye na mibuyu yake hana shida
πππ Asante kwa kuzitangaza hizo lites sijawahi kuzinywa ngoja nijaribu kwanza nione zina nini?Wakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?
Povu ruksa, Nishajikoki mabomu.
Siachi ata ulie ata unichape fimbo siachiwe unafuata ushauri wa huyo? zakuambiwa changanya na zako mkuu ila flyfish acha
Mkuu acha kujizalilisha, kumbe hujatembelea maeneo mengi kuna viwanja hizi local beer ni 7000Wapi safari buku tanoππππ. Huna hela wewe safari buku tano wapiiii??...
Nikujibu kistaarabu kabisa bila mihemko...Too hell. Ni uwongooooo,, huo ni uwongooo.. wewe muongooo bwanaaaa. Na hapa bia umeongelea ngumu ni za mtaani na tu bar bar tuchafu. Unaongelea ngumu.
Vijana ni mwendo wa serengeti au castle lite. Pombe si vita ni starehe . Ww piga ngumu. Vijana wanapiga lite. Swaaaafi kabisa.
utajua mwenyewe shauri yako utakua mtamuSiachi ata ulie ata unichape fimbo siachi