Mwanaume unashindwa kumnunulia mkeo au mpenzi wako hata IST mpaka anabambiwa kwenye bodaboda?

Mwanaume unashindwa kumnunulia mkeo au mpenzi wako hata IST mpaka anabambiwa kwenye bodaboda?

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,857
Reaction score
3,593
Habari

Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma

Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.

images.jpeg
 
Habari

Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma

Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
Shule zimefungwa sasa mpo huru kutumia smartphone, tutalajie ujinga mwingi sana JF kwa hizi wiki mbili za mid term.
 
Habari

Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma

Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.

View attachment 3088532
Shida hapo sio mume wala sio bodaboda, huyo mke inakuaje anapanda mshikaki wakati alipewa 1000 apande bodaboda mwenyewe?
 
Back
Top Bottom