Nitajitahidi kuepusha gubu kama lako Sina namna wanawake mnateteana sanaMkuu mbona povu kali๐๐๐ mnunulie shemeji hata kaIST
Instagram imewaharibu sana wake zetuUmeshachanganyikiwa mzee๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mi ni wakiume au mkuu unadurahia wake za watu wanavyobambiwa?Nitajitahidi kuepusha gubu kama lako Sina namna wanawake mnateteana sana
Wewe itakua unanuswa nyuma sio bure maana huwezi ukawa unatukana tu mtu ambae hajakutukana๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃInstagram imewaharibu sana wake zetu
Hya utapata ist
mkeo anabambiwa mkuu kataa kuwa lofa jipige apate ata kaISTJe mamako anayo?
Haya mkuu umeshinda tujiandae na mwezi wa lozariMi ni wakiume au mkuu unadurahia wake za watu wanavyobambiwa?
Watu wana makasiriko sana๐๐๐Mleta Uzi umeona hasira za Hawa wanaotupandisha toyo?๐๐๐ Endelea kuwaambia nimeimarisha ulinzi juu yako๐
Hata mamako ukute anabambiwa, anza kwanza kwako kabla hujafikiria ya wengine.mkeo anabambiwa mkuu kataa kuwa lofa jipige apate ata kaIST
Hasira za nini relax๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHata mamako ukute anabambiwa, anza kwanza kwako kabla hujafikiria ya wengine.
Mkuu huu ni ushauri tu ili mkeo aepuke kubambiwa na madungadunga kama anapandaga bodabodaHata mamako ukute anabambiwa, anza kwanza kwako kabla hujafikiria ya wengine.
Kwa wenye uwezo mkuu wawanunulieMkuu sio wote Wana huo uwezo wa kununua ist kama mungu amekupa huo uwezo mshukuru
Kama ujinga huu hapaShule zimefungwa sasa mpo huru kutumia smartphone, tutalajie ujinga mwingi sana JF kwa hizi wiki mbili za mid term.
Unajua kama unachokifanya ni udhalilishaji?Habari
Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma
Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
View attachment 3088532
Mshaanza kututukanaHabari
Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma
Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
View attachment 3088532
Njie wavulana mnaokula na kulala kwa dada zenu hamjitambui pambaff...baba yako alimnunulia mamako IST?Habari
Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma
Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
View attachment 3088532