mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huu mguu unahitaji msasa wa mashine na grander pia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mguu unahitaji msasa wa mashine na grander pia [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] umesahau na biashara ya chipsUkiweka biashara ambayo wanunuzi wakubwa ni wanawake lazima wakufilisi,
Mwanamke yupo tayari kuliwa na muuza biringanya ili mradi tu apewe biringanya bure, yaani ile Ubure kwake hua inathamani kuliko mwili wake,
Ndio maana wazee wa Pwani hua hawaruhusu wake zao na mabinti zao waende Sokoni, huko utakuta muuza nyama, muuza samaki, muuza mchele, muuza nazi, muuza embe na ubuyu, wote wanajipigia mwanamke mmoja na huyo mwanamke anajionea sawa ili mradi tu akienda na pesa sokoni ilirudi na vifaa apate.
Hebu tuma hizo magaga zako kule piyemu, tatizo lako unadhani sikujui![emoji12]
Duh mguu nimeuelewa aise
Mguu nimeuelewa sana ndy ugonjwa wanguuuYeuyeeeeee[emoji8][emoji8][emoji8]
Watakuwa Mchele mchele haoHahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
Hapo ndio tatizo sasaMke wa mtu anapata wapi ujasiri wa kushikwashikwa na mwanaume hovyo barabarani ?
Halafu wale jamaa wanao waosha ukipata bahati ya kuona wanavyofanya mbona utatamani umkamate mmoja umwage ubongo hadharani , machalii wanasugua mpaka mapaja ya watoto wazuri bado kidogo watawafulia mpka chupiHapo ndio tatizo sasa
Ni kukosa soni kwa kiwango kikubwa sanaHapo ndio tatizo sasa
Ok, ntaleta mrejeshoAcha kukisia, oshwa siku moja uonje msisimko![emoji276]
mume kwenda massage hilo linategemea na uhitaji na majukumu kama kazi yangu inataka oil massage/deep tissue massage/hot stoneNimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.
Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?
Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na muhudumu wa kike? (Kumbuka hukandwi ukiwa na nguo zote) na ikiwa hakuna shida je kidume unaweza kukubali kukandwa na kidume mwenzio ili mkeo akwamini kuwa ni massage tu?
Msimamo wangu mimi nakataa hizo biashara zote full stop sababu zitakuja kwenye koment chini.
Naombeni kuwasilisha
Weee usiniambie..Mguu nimeuelewa sana ndy ugonjwa wanguuu
Naomba tu nkusafishe kucha,unyayo pls [emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Weeee...
AiseeeeWeeee...
Naukupa [emoji28][emoji28][emoji28]
Huu mguu nimeuelewa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wacha wee...umesisitiza kwa sauti ya juu mno😁😁Huu mguu nimeuelewa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Daah!!haufunguki aisee nadhani umeuondoa, jamani nifanyie wepesi nami nijionee maajabu ya Mungu kwenye uumbaji wake.Weeee...
Naukupa [emoji28][emoji28][emoji28]
Imeisha hiyooo poleDaah!!haufunguki aisee nadhani umeuondoa, jamani nifanyie wepesi nami nijionee maajabu ya Mungu kwenye uumbaji wake.