stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Yuko mmoja namjua yeye mpaka anatumwa akanunue baadhi ya mahitaji ya nyumbani,na siku nyingine mpaka anagombezwa na mama mkwe akifanya uzembe...ukweni unakaa masaa mawili matatu ukisubiri msosi tu
ukishakula unatembea