Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno sahihi lilipaswa kuwa nawasilishaNawakilisha ni tofauti na nawawakilisha
Wajitafakari upya, hiyo sio normal thingMbona wengi tu wanaishi ukweni me nawajua
SIjui mila desturi na taratibu za makabila mengine. Ila ukweli hata kama umeoa kwenye familia ya kitajiri kwenda kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili aisee unajidhalilisha.
Mzee wangu aliniambia ukikaa ukweni siku mbili zinataosha sana ya tatu unaondoka hii ni kwamba usijue maisha yao na wao wasijue mipango yao. Ukikaa sana ukweni kuna siku utatumwa chumvi dukani uone wanakudharau kumbe mipango yako sio.
Chini ya hili jua kuna wanaume achilia mbali kwenda kusalimia ukweni, wapo ambao wanaishi ukweni. Na hapo mtu anahitaji haishimike. Aisee ukiona unaishi ukweni na mwanamke anakuheshimu wee jamaa hata mbingu ni yako. Nawakilisha.
Ni kweli, ila ujasema unakaa mda ukweni mkuu!Tangu Ukabila ufutwe Mila nazo zimefutwa sijui kama unajua Hilo.
Watu Sasa wanaishi kisasa.
Katiba ya nchi ndîo Muongozo na siô Mila na desturi za Zamani za Makabila àmbayo Kwa Sasa hayana umuhimu wowote
Kumbe wewe unalala kabisa mkuu, ukweni hutakiwi kulala
Ni kweli, ila ujasema unakaa mda ukweni mkuu!
Mnatutafuta tuseme mtuone wajivuni.waacheni mashemeji zetu wa mbeya hawana baya...
Anakuna na kitambi na akienda chooni anapupu na kujamba comfortably? Ukweni hapana ni kwa kutoka ndukiKuna jamaa mmoja bonge flani hivi. Akienda ukweni anavaa taulo anaenda bafuni(bafu lipo nje uani)
Yupo comfortable anaona sawa. Binafsi huwa nashangaa
Mi hata ukweni kwenyewe sikujui Wala sijawahi kwenda!!!Kumbe huwa mnaishi kabisa….
Mimi ni siku mija tu…. Nampeleka wife… kesho yake nasepa.
Hapa umeacha maswali mengi.Mie ba mkwe wangu hata nikikaa siku 3 tu hawezi kuniacha niondoke hivihivi
Tatizo ni wakwe zako, sasa sisi wakwe zetu poa sana, washikaji! Tunatinga kila mwaka, tena hadi likizo iishe!SIjui mila desturi na taratibu za makabila mengine. Ila ukweli hata kama umeoa kwenye familia ya kitajiri kwenda kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili aisee unajidhalilisha.
Mzee wangu aliniambia ukikaa ukweni siku mbili zinataosha sana ya tatu unaondoka hii ni kwamba usijue maisha yao na wao wasijue mipango yako. Ukikaa sana ukweni kuna siku utatumwa chumvi dukani uone wanakudharau kumbe mipango yako sio.
Chini ya hili jua kuna wanaume achilia mbali kwenda kusalimia ukweni, wapo ambao wanaishi ukweni. Na hapo mtu anahitaji haishimike. Aisee ukiona unaishi ukweni na mwanamke anakuheshimu wee jamaa hata mbingu ni yako. Nawasilisha.
Mie mwanaume. Sasa mkwe wangu tuna biashara pamoja, na tunafanya mambo mengi pamoja. NI mwaminifu sana, na mchap kazi kweli kweli kwenye miradi tunayofanya pamoja. Sasa ukimfanya mkwe ni mtu wa kukuzalia mke tu, na ukawa na aina ya uhusiano ambao wewe ndio msaada kwa mkwe, unaongea nao mara moja moja wakimpigia simu mkeo na kusema tunaomba tumsalimu, utakaa huko ukweni kufanya nini? Make your inlaws part of your family, and be genuinely happy when you see them.Hongera zako! Ila sijajua jinsia yako mkuu