Yuko mmoja namjua yeye mpaka anatumwa akanunue baadhi ya mahitaji ya nyumbani,na siku nyingine mpaka anagombezwa na mama mkwe akifanya uzembe...ukweni unakaa masaa mawili matatu ukisubiri msosi tu
ukishakula unatembea
Wengi hufanya hivyo ila kuna ambao sikukuu za mwsho wa mwaka zote huzianza na kuzimalizia ukweni.Ukweni tunaenda kwa issues, misiba na events ila sio kwenda tu..eti Xmas twende ukweni...hapana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukaa kaa ukweni, mwishowe unaanza kufanyishwa homework za watoto wa mjomba!
Sasa afanyejeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa mmoja bonge flani hivi. Akienda ukweni anavaa taulo anaenda bafuni(bafu lipo nje uani)
Yupo comfortable anaona sawa. Binafsi huwa nashangaa
Na mkeo ulikua unalala nae Lodge? Si umesema hatakiwi kulala kwao?Kwa sisi tuliooa WACHAGA,
Suala la kulala ukweni ni MARUFUKU! Yaani SAHAU!
Kwanza binti akishaolewa, YEYE mwenyewe haruhusiwi kulala kwao, sembuse wewe??
Mimi alifariki baba mkwe, nililala lodge wiki nzima. Kila siku naenda msibani asubuhi, usiku narudi lodge kulala.
Hizi ndo mila sasa!! mila za kudumisha ndoa na kujenga uanaume asiliaKwa sisi tuliooa WACHAGA,
Suala la kulala ukweni ni MARUFUKU! Yaani SAHAU!
Kwanza binti akishaolewa, YEYE mwenyewe haruhusiwi kulala kwao, sembuse wewe??
Mimi alifariki baba mkwe, nililala lodge wiki nzima. Kila siku naenda msibani asubuhi, usiku narudi lodge kulala.
Alitakiwa aseme nawasilishaHilo neno la mwisho linaharibu utamu wa maudhui uliyotoa hapo juu yaani hapo umeonesha ww ni mwakilishi wa hao wanaokaa ukweni.
Back to the point kwakweli binafsi ukweni labda uwe ni msiba mzito ndo unaweza kuniweka siku3 kinyume cha hapo ni siku mbili au moja nasepa tena nitarudi huko baada ya muda mrefu kupita kama hakuna shida yoyote
Anakunyandua??Mie ba mkwe wangu hata nikikaa siku 3 tu hawezi kuniacha niondoke hivihivi
Hizi ndo mila originali, mila asiliaMimi sijui kama ni ubaguzi au ni nini lakini utaratibu wao ndio uko hivyo. Mwanamke akishaolewa haruhusiwi kurudi nyumbani na kulala. Ataenda kusalimia tu asubuhi na kuondoka jioni kurudi kwa mumewe.
Na hii haijalishi hata kama mwanamke ameolewa nyumba ya 3 kutoka kwao, hawezi kwenda nyumbani kulala.
Binafsi niliona kama ni utaratibu mzuri
Kwa nn uoe mbali na kwenu?Ukishaoa pale pia ni nyumbani. Mfano umeoa tabora na unaishi dar inakuwaje?
Chai tena haina hata sukarimi ukweni huwa sikai wala kula nawasalimia nikiwa njiani kwa kuwapungia mkono kisha nageuza
MshangaziMie ba mkwe wangu hata nikikaa siku 3 tu hawezi kuniacha niondoke hivihivi
Mimi sijawahi kulala kabisa, yaani nikikaa zaidi ya masaa 3 sijui nimepatwa na nini tena huwa sina mazoea na watu wa ukweni kwangu.Kumbe huwa mnaishi kabisa….
Mimi ni siku mija tu…. Nampeleka wife… kesho yake nasepa.
Mwenyeji wa mikoa ya Pwani au Zanzibar?Kuna jamaa mmoja bonge flani hivi. Akienda ukweni anavaa taulo anaenda bafuni(bafu lipo nje uani)
Yupo comfortable anaona sawa. Binafsi huwa nashangaa
Nawapa pole sana!Wengi hufanya hivyo ila kuna ambao sikukuu za mwsho wa mwaka zote huzianza na kuzimalizia ukweni.