Mwanaume unawezaje kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili?

Kuna jamaa mmoja bonge flani hivi. Akienda ukweni anavaa taulo anaenda bafuni(bafu lipo nje uani)
Yupo comfortable anaona sawa. Binafsi huwa nashangaa
Sasa afanyejeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na mkeo ulikua unalala nae Lodge? Si umesema hatakiwi kulala kwao?
 
Hizi ndo mila sasa!! mila za kudumisha ndoa na kujenga uanaume asilia
 
Alitakiwa aseme nawasilisha
 
Hizi ndo mila originali, mila asilia
Siyo mila za kulea upuuzi, mwanamke ukimkoromea tu kaishakimbila kwao, na anapokelewa kabisa

Ukimzaba kofi ukoo wote unakusanyika, mpaka polisi unapelekwa
 
Kumbe huwa mnaishi kabisa….
Mimi ni siku mija tu…. Nampeleka wife… kesho yake nasepa.
Mimi sijawahi kulala kabisa, yaani nikikaa zaidi ya masaa 3 sijui nimepatwa na nini tena huwa sina mazoea na watu wa ukweni kwangu.
 
Sipendi kukaa ukweni, sipendi kukaa kwetu, sipendi kukaa kwa watu wala kwa mtu......
Nikienda kwetu sitaki izidi siku tatu.

Napenda na nna amani kukaa kwangu.
 
Siku 2 mkuu, Tena hizo siku zenyewe hushindi ndani, unajifanya kuna ishu unafatilia, siku ya tatu mapema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…