Mwanaume unawezaje kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili?

Mwanaume unawezaje kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili?

SIjui mila desturi na taratibu za makabila mengine. Ila ukweli hata kama umeoa kwenye familia ya kitajiri kwenda kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili aisee unajidhalilisha.

Mzee wangu aliniambia ukikaa ukweni siku mbili zinataosha sana ya tatu unaondoka hii ni kwamba usijue maisha yao na wao wasijue mipango yako. Ukikaa sana ukweni kuna siku utatumwa chumvi dukani uone wanakudharau kumbe mipango yako sio.

Chini ya hili jua kuna wanaume achilia mbali kwenda kusalimia ukweni, wapo ambao wanaishi ukweni. Na hapo mtu anahitaji haishimike. Aisee ukiona unaishi ukweni na mwanamke anakuheshimu wee jamaa hata mbingu ni yako. Nawasilisha.
Hivi ukikaa ukweni ukiamka unafanya shughuli gani, au unaenda kuangalia tv na wakwe 🤣
 
Kuishi ukweni si tu kunakupunguzia heshima, bali ni kuidhalilisha familia yako na kuichoresha kuwa haijiwezi.
Kimsingi inatakiwa ulale usiku mmoja tu ukweni. Tena iwe kwa dharura sana.
 
Kuishi ukweni si tu kunakupunguzia heshima, bali ni kuidhalilisha familia yako na kuichoresha kuwa haijiwezi.
Kimsingi inatakiwa ulale usiku mmoja tu ukweni. Tena iwe kwa dharura sana.
Kabisa aisee
 
Back
Top Bottom