Mwanaume unawezaje kulala uchi wa nyama hata kama huyo ulie lala nae ni mke, mchumba au mdogo wako?

Mwanaume unawezaje kulala uchi wa nyama hata kama huyo ulie lala nae ni mke, mchumba au mdogo wako?

Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?

Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?

Na je, ni vizuri au vibaya?🐒
1-Una umri gani?
2-Una mke?
3-Unaishi kwenye nyumba yako au umepanga nyumba yenye wapangaji mchanganyiko?
NB: Maswali namba 1 na 2 ndiyo muhimu zaidi.
 
1-Una umri gani?
2-Una mke?
3-Unaishi kwenye nyumba yako au umepanga nyumba yenye wapangaji mchanganyiko?
NB: Maswali namba 1 na 2 ndiyo muhimu zaidi.s
nadhani huna haja kutamanisha au kumvutia pepo au majini wa kike na wakiume wa kuvamie, kwa kukaa kukaa kwako uchi hata uwe kwenye nyumba ya kupanga ama nyumba binafsi ni hatari sana mwanaume 🐒
 
images.jpeg
 
kwan mashetani yapo ya kiume tu ndio ukilala chale uchi yasitamani mshedede?🐒
Mashetani hayatabiriki yanapenda vituko hata kama ni shetani jike litajibadili kuwa dume kisha linambandua mlala uchi kana kwamba ni la kiume
 
hiyo ya kuoga nadhani ukiifungulia uzi itapendeza zaidi, mimi nimezungumzia kulala 🐒
Kuoga uchi na kulala uchi ni sawa tu kwa kutumia akili yenye logic ndiyo maana nimekuuliza ilo swali hili ujue kichwa chako kiko na ubongo wa kuku ...kuna mkenya hapa jf anaitwa MK254 alikuwa anatuponda watanzania kuwa tuna chamba kwa maji na mikono tukienda chooni kuwa ni wachafu eti tunaiga uchafu wa kiislamu ...logic ya huyo mkenya ilikuwa sawa na logic ya swali lako ...basi nikamjibu huyo mkenya kwa swali kama nilivyo kujibu wewe hadi leo ajathubutu tena kukashifu wanaojisafisha kwa maji wanapo kwenda chooni .....NILIMUULIZA KAMA KUJISAFISHA KWA MAJI (KUCHAMBA) NI UCHAFU JE YEYE AKIENDA KUOGA AJIFAFISHI HIZO SEHEMU KWA MAJI SAWA SAWA NA YULE ANAYE CHAMBA ...jamaa alikosa jibu hadi leo ajathubutu tena kutoa hiyo kauli ...maana hapo nyuma ilikuwa hiyo kauli.ni nyimbo kabisa hapa JF ..KAMA KULALA UCHI NI UPUMBAVU BASI HATA KUOGA UCHI NI UPUMBAVU PIA ...NILITEGEMEA WEWE UNGESEMA KUWA WEWE UWEZI KUOGA UCHI PIA ILA UNAOGA NA BOKSA NINGEKUONA UNAYO LOGIC YA SWALI LAKO ...WEWE NI SAWA NA MUISLAMU ANAYE KATAA KULA NYAMA YA NGURUWE ILA SUPU YA NGURUWE ANA KUNYWA...😁😁😁
 
Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?

Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?

Na je, ni vizuri au vibaya?🐒
Uvccm mna mawazo ya ajabu ajabu, hiki kichwa ndio kinasema humu mitano Tena shwain kabisa
 
Mimi nalala na bukta likitokea la kutokea napiga teke Moja tu mlango iyaaa huyo napepea
 
Back
Top Bottom