Mwanaume ungependa kuongozana na mkeo akiwa katika mavazi gani?

Mwanaume ungependa kuongozana na mkeo akiwa katika mavazi gani?

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo ndefu zilizomsitiri mwili wake? Au ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo zimembana au zimemuacha nusu uchi, huku wanaume wenzako wakimsifia?
 
Mods nisaidie kulekebisha kichwa cha habari kisomeke Wewe mwanaume ungependa kuongozana na mkeo akiwa katika hali gani?
 
Naamini asilimia kubwa tunapenda kuonekana wa heshima tukiwa na wake zetu japo kuna maeneo lazima mke ajiachie sio manguo marefu kila sehemu. Mfano mnaenda ufukweni hakuna haja ya kuvaa manguo marefu na kingine usafiri gani unatumia huwezi toka na mkeo kavaa kimini alafu mnagombania daladala huo ni mtihani mwingine. Unenda dinner na wife avae manguo ya kanisani huo ni uongo. Kiufupi ni kwamba kila sehemu ina mavazi yake na mazingira yenu yatawafanya mjiachie au msijiachie. Mfano mm naweza safiri na wife from dar to klm kavaa bukta lakini hatuwezi safiri umbali huo huo tukiwa kwenye bus akavaa bukta au nguo nyepesi kulingana na mazingira.
 
Kuongozana kwenda wapi?
Beach?
Kanisani?
Kazini?
Kusalimia ndugu na marafiki?
Au sehem gani?

Maana kila sehem ina mavazi yake
 
Ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo ndefu zilizomsitiri mwili wake? Au ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo zimembana au zimemuacha nusu uchi, huku wanaume wenzako wakimsifia?
Nafikiri wenye wake wajawazito wanafurahia sn...no stress zakuwaza nani atamtonhoza/kumfikiria regardless na nguo atakayovaa
 
Naamini asilimia kubwa tunapenda kuonekana wa heshima tukiwa na wake zetu japo kuna maeneo lazima mke ajiachie sio manguo marefu kila sehemu. Mfano mnaenda ufukweni hakuna haja ya kuvaa manguo marefu na kingine usafiri gani unatumia huwezi toka na mkeo kavaa kimini alafu mnagombania daladala huo ni mtihani mwingine. Unenda dinner na wife avae manguo ya kanisani huo ni uongo. Kiufupi ni kwamba kila sehemu ina mavazi yake na mazingira yenu yatawafanya mjiachie au msijiachie. Mfano mm naweza safiri na wife from dar to klm kavaa bukta lakini hatuwezi safiri umbali huo huo tukiwa kwenye bus akavaa bukta au nguo nyepesi kulingana na mazingira.
Umefafanua vyema.
 
Kuongozana kwenda wapi?
Beach?
Kanisani?
Kazini?
Kusalimia ndugu na marafiki?
Au sehem gani?

Maana kila sehem ina mavazi yake
Hivi unaweza kwenda na mkeo beach halafu akavai chupi tu na sidiria,na wewe ukarizika?
 
Naamini asilimia kubwa tunapenda kuonekana wa heshima tukiwa na wake zetu japo kuna maeneo lazima mke ajiachie sio manguo marefu kila sehemu. Mfano mnaenda ufukweni hakuna haja ya kuvaa manguo marefu na kingine usafiri gani unatumia huwezi toka na mkeo kavaa kimini alafu mnagombania daladala huo ni mtihani mwingine. Unenda dinner na wife avae manguo ya kanisani huo ni uongo. Kiufupi ni kwamba kila sehemu ina mavazi yake na mazingira yenu yatawafanya mjiachie au msijiachie. Mfano mm naweza safiri na wife from dar to klm kavaa bukta lakini hatuwezi safiri umbali huo huo tukiwa kwenye bus akavaa bukta au nguo nyepesi kulingana na mazingira.
Kujiachia mwanamke ni chumbani kwake yeye mume wake,maana hata kwa wodogo zake wa mwanaume yaani mashemeji haruhusiwi kujiachia sembuse wanaume wa inje
 
Hivi unaweza kwenda na mkeo beach halafu akavai chupi tu na sidiria,na wewe ukarizika?
Bado una safari ndefu. Unadhani jibu langu la ndio au hapana ndio uhalisia wa kila wanandoa wanavyotakiwa kuwa?
 
Back
Top Bottom