- Thread starter
- #141
Mbona mna baka watoto wadogo miaka 16 loh.Serikali ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mna baka watoto wadogo miaka 16 loh.Serikali ipo
Mifumo ya kimagharibi inakudanganyaMbona mna baka watoto wadogo miaka 16 loh.
Uko sahihi mno. Mwanaume unaoa dogodogo hata kama umezeeka anakufanya unakuwa kijana. Mwanaume inabidi umwache mkeo miaka 20 na kuendelea.Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.
Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.
Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
Duh! Si itakua kama mtu na baba yake, aisee hilo gap si mchezo.Uko sahihi mno. Mwanaume unaoa dogodogo hata kama umezeeka anakufanya unakuwa kijana. Mwanaume nenda inabidi umwache mkeo miaka 20 na kuendelea.
Hapana dada yangu. Ndiyo inavyotakiwa na mume hata hatakumbuka kuchepuka.Duh! Si itakua kama mtu na baba yake, aisee hilo gap si mchezo.