Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ndio bebeeUmeacha kuwa mtumwa wa zile naniliu?
[emoji3516]
HahahHalafu mwanaume unapataje ujasiri wa kuwa na kamwanamke kamoja?
Tubadilike inamaana tumesahau hata Adam aliyetengenezwa kwa mikono ya sir God lakini Hawa kamhenyesha vya kutosha vilevile samsoni na delila
Sasa sembuse hiki kizazi cha emoji
Kabisaaa mkuu, wanawake wao wanawekezaga muda na hisia tu, wakati wanaume tunawekeza kila kitu, yaan vyote muda, hisia, fedha na malikabisa mkuu. kibaya zaidi ni kuwa wanaume wanaongoza kwa kuwekeza kwa wanawake mwisho wa siku ndio wanaoongoza kwa kutendwa.
Unamsubiri ageuke badala ya kuanza mautundu, pitisha ulimi kwenye uti wa mgongo huku unampuliza kidogo sikioni kwake, mkono wako uwe kwenye kifua chake unatomasa tomasa, mwenyewe atageuka mbona,