Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26

Out there wakuu,

Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!

Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.

Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.

Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, mda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.

Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.

Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.

Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire( huo mda endelea kuchakata ila husipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.

Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.

Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.

Na log out,
Dr Criminal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kutafuta pesa ili uishi na pisi kali.
Hautakuja kumuelewa mwanamke mpk unaingia kaburini wanataka nini. Watu wapo wanapesa lkn anagongewa na house boy au dereva wake.
Kule Mwanza jamaa alimpiga risasi mke wake baada ya kugundua mke hamtaki japo jamaa ana mali mpk alimsomesha
Kuna siku naangalia TV jamaa alikuwa anaomba ushauri afanyaje baada ya kugundua mke wake anatembea na boda boda japo yeye ana mali na anamtimizia kila kitu.
Siwezi kutafuta pesa nimfurahishe mwanamke.
 
Kuna haja tukaiweka hii thread kwny mfumo wa audio iwe ni lazma kuisikiliza kila mtu akitaka kulog in JF,hii ni kumbusho la muda wote asee.
Nyie ndiyo wale mnatafuta pesa ili uwe na mwanamke mzuri huku umesahau maisha ni hatua.
Siku umefukuzwa kazi, umefirisika au umeugua mwanamke anakukimbia kwasababu hauna hela tena ya kumtimizia mahitaji yake.
 
Maswali kwa wadada na mtoa mada:

KWA MTOA MADA:
1)Vipi kama mwanaume umeajiriwa ila unalipwa 150k kwa mwezi hlf uko dar, au hata mkoani, una tofauti gani sana na jobless? Mifano hai ninayo, nina washkaj wameajiriwa ila hawawezi hata kuoa, sababu mshahara wao ni mdogo mno.

KWA WADADA:
2) Wadada mnataka wanaume wenye uchumi stable/wenye pesa za kutosha, ukifanya sensa ya kipato hapa Tanzania, ni asilimia ngapi ya vijana wa kiume walio kwenye umri wa kuoa (miaka 18-35) wanaopata walau tshs. Million 1 kwa mwezi? Na chances za wewe mdada kutongozwa na mkaka mwenye kipato cha hivo ni asilimia ngapi? Kelsea Dream Queen Demi Kalpana Dr criminal
Usijalibu kupingana na mtoa mada ukauacha uhalisia.

Hata hao wanaotaka kuolewa,
Hakuna mwanamke anataka kuoelwa na jobless

Ukiona yupo,
Basi ujue Hana option Zaid ya hiyo.
Na ikipatkana Basi hiyo ndoa lazima iote mbawa
 
KWA sasa
Mahusiano Ni gharama,
Mahusiano yanahitaji uendeshaji,
Huna hela kaa TU kushoto wenzio wasongeshe gurudumu
Kuna watu wanahela lakini wake zao wanaliwa na bodaboda mpk mahouse boy.
Nyie ndiyo wale mnatafuta pesa ili uishi na mwanamke mzuri huku umesahau maisha ni hatua.
Siku umeyumba kiuchumi au umefukuzwa kazi mke anakukimbia.
 
Msisahau kwamba Kuna watu Wana pesa nyingi Sana ila wanagongewa wake zao na wahuni wa mtaani.
Mtoamada hajasema usigonge, kasema usipende.

Anaweza akagongwa na wewe ila hakupendi.

Hata wewe unaegonga Dem wa mwenye pesa huna confidence ndo maana utaish na dem kama digidigi
 
Sitasahau Siku niliambiwa na mpenzi Wang neema kwamba nitafute kwanza hela nikipata nimtafute.. Nilipata Taabu sana kumsahau mbele ya Degree yangu ya Angriculture
Mi mwnyw galfrend want wa kwanza alnambia nmeisha fashion

Ukitafakar fashen aligundua nilikua Sina pesa
 
Back
Top Bottom