Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Moyo una gawanywa😅😅Kwa hiyo moyo wako unakuwa kwa nani kati ya hao wawili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo una gawanywa😅😅Kwa hiyo moyo wako unakuwa kwa nani kati ya hao wawili?
🤣🤣🤣 mtafika mbinguni mmechoka sana wanawake kwa huyu mnataka shoo ya kibabe kwa yule pesaMoyo una gawanywa😅😅
Kwamba umefurahishwa kuchakatwa na mbususu
Sawa tu tutapumzika tukifika mbinguni🤣🤣🤣 mtafika mbinguni mmechoka sana wanawake kwa huyu mnataka shoo ya kibabe kwa yule pesa
Haha!! Unataka walipukeTafuteni pesa tu majobless hata kuchakata msichakate
Endelea kutafuta pesa ili uishi na pisi kali.Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26
Out there wakuu,
Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!
Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.
Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.
Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, mda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.
Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.
Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.
Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire( huo mda endelea kuchakata ila husipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.
Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.
Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.
Na log out,
Dr Criminal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bussness as ussual!Na kweli build your own Empire kwanza kabla hujaingia mazima... tuliokua tunapenda bila kazi wala hela then mnabuild ur empire pamoja.. kizazi chetu ndo kimeshaishia...kwa sasa love is business.
Nyie ndiyo wale mnatafuta pesa ili uwe na mwanamke mzuri huku umesahau maisha ni hatua.Kuna haja tukaiweka hii thread kwny mfumo wa audio iwe ni lazma kuisikiliza kila mtu akitaka kulog in JF,hii ni kumbusho la muda wote asee.
Unaliwa TU taiming chief[emoji4]Mi napendwaga na sina v8
Hebu let iyo namba ya uyo unaedai anakupenda tuone Kama ana mapenz ya kweli[emoji38]Mi napendwaga na sina v8
All in all alosema mtoa mada ni ukweli mtupu yani kama mimi mbususu napewaga mwsho wa mwezi nikishapata visent vyangu kama MP tu maaee
Usijalibu kupingana na mtoa mada ukauacha uhalisia.Maswali kwa wadada na mtoa mada:
KWA MTOA MADA:
1)Vipi kama mwanaume umeajiriwa ila unalipwa 150k kwa mwezi hlf uko dar, au hata mkoani, una tofauti gani sana na jobless? Mifano hai ninayo, nina washkaj wameajiriwa ila hawawezi hata kuoa, sababu mshahara wao ni mdogo mno.
KWA WADADA:
2) Wadada mnataka wanaume wenye uchumi stable/wenye pesa za kutosha, ukifanya sensa ya kipato hapa Tanzania, ni asilimia ngapi ya vijana wa kiume walio kwenye umri wa kuoa (miaka 18-35) wanaopata walau tshs. Million 1 kwa mwezi? Na chances za wewe mdada kutongozwa na mkaka mwenye kipato cha hivo ni asilimia ngapi? Kelsea Dream Queen Demi Kalpana Dr criminal
Kuna watu wanahela lakini wake zao wanaliwa na bodaboda mpk mahouse boy.KWA sasa
Mahusiano Ni gharama,
Mahusiano yanahitaji uendeshaji,
Huna hela kaa TU kushoto wenzio wasongeshe gurudumu
Mtoamada hajasema usigonge, kasema usipende.Msisahau kwamba Kuna watu Wana pesa nyingi Sana ila wanagongewa wake zao na wahuni wa mtaani.
Mi mwnyw galfrend want wa kwanza alnambia nmeisha fashionSitasahau Siku niliambiwa na mpenzi Wang neema kwamba nitafute kwanza hela nikipata nimtafute.. Nilipata Taabu sana kumsahau mbele ya Degree yangu ya Angriculture