Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝 tunatafuta pesa ili kuzichakata tu mbususu zao, kuwatumia kwa starehe na kisha kuwadumpSiwezi kutafuta pesa nimfurahishe mwanamke.
Hali ya maisha imewafanya kua wachache na adimu sanaUsiwaondolee wenzio ujasiri wa kujiamini.
Inategemea.
Kuna wanawake wanakazi na hela na wanachotaka kwa Mwanaume ni penzi na heshima na uaminifu na sio pesa.
Si wanawake wote wapo after money.
Though kwa bongo ni wachache sana!
Wawakubali tuu hato hao wa 150k maisha hayatabiriki...ukianza na mtu from scratch mtapanda nae mtafika huko kwny 1milion to millions..Maswali kwa wadada na mtoa mada:
KWA MTOA MADA:
1)Vipi kama mwanaume umeajiriwa ila unalipwa 150k kwa mwezi hlf uko dar, au hata mkoani, una tofauti gani sana na jobless? Mifano hai ninayo, nina washkaj wameajiriwa ila hawawezi hata kuoa, sababu mshahara wao ni mdogo mno.
KWA WADADA:
2) Wadada mnataka wanaume wenye uchumi stable/wenye pesa za kutosha, ukifanya sensa ya kipato hapa Tanzania, ni asilimia ngapi ya vijana wa kiume walio kwenye umri wa kuoa (miaka 18-35) wanaopata walau tshs. Million 1 kwa mwezi? Na chances za wewe mdada kutongozwa na mkaka mwenye kipato cha hivo ni asilimia ngapi? Kelsea Dream Queen Demi Kalpana Dr criminal
Liverpool VPN unaitwa hukuMwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26
Out there wakuu,
Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!
Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.
Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.
Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, mda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.
Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.
Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.
Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire( huo mda endelea kuchakata ila husipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.
Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.
Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.
Na log out,
Dr Criminal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa jobless ni hatua katika maisha wala siyo dhambi na huyu huyu jobless mwisho wa siku anapata kazi au kuwa na biashara yake.Huu uzi utakuwa na wachangiaji wengi majobless
Brother,Kuna watu wanahela lakini wake zao wanaliwa na bodaboda mpk mahouse boy.
Nyie ndiyo wale mnatafuta pesa ili uishi na mwanamke mzuri huku umesahau maisha ni hatua.
Siku umeyumba kiuchumi au umefukuzwa kazi mke anakukimbia.
Hapa mzee baba umeongea jambo muhimu unakuta demu anapenda pesa huyoo njoo kwenye shoo mvivu hana hata amsha amsha nikikutanaga na wa namna hiyo huwa naonaga nimetapeliwa tuNa wakipenda kupewa pesa, wajue pia kutoa shoo nzuri zinazohamasisha; sio jitu linakuja linakaa kaa tu likingojea kifo cha mende au mpaka ageuzwe geuzwe.
Ila Ni muhimu,Pesa si kila kitu
Na maisha Mazur mojawapo Ni kukojolea pazuri[emoji4]Usitafute hela ili uwe na mwanamke wewe tafuta hela ili uishi maisha mazuri uyapendayo.
Ila uzi umetulia, uekwe kwenye ilani ya uchaguzi 2025
[emoji1666][emoji1666]Una hoja Kali Sana na uwasilishaji ulionyooka.
Huo ndo ukweli wanaume tukiwa na pesa ni mwendo wa kung'oa pisi kaliNa maisha Mazur mojawapo Ni kukojolea pazuri[emoji4]
Ili ujue yupi ni jobulesiNimekuja kusoma comments tu
Hapan mara moja moja sio mbaya[emoji28]Tafuteni pesa tu majobless hata kuchakata msichakate