Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanaume usiye na kazi usipende!

Usiwaondolee wenzio ujasiri wa kujiamini.

Inategemea.

Kuna wanawake wanakazi na hela na wanachotaka kwa Mwanaume ni penzi na heshima na uaminifu na sio pesa.

Si wanawake wote wapo after money.

Though kwa bongo ni wachache sana!
Hali ya maisha imewafanya kua wachache na adimu sana
 
Maswali kwa wadada na mtoa mada:

KWA MTOA MADA:
1)Vipi kama mwanaume umeajiriwa ila unalipwa 150k kwa mwezi hlf uko dar, au hata mkoani, una tofauti gani sana na jobless? Mifano hai ninayo, nina washkaj wameajiriwa ila hawawezi hata kuoa, sababu mshahara wao ni mdogo mno.

KWA WADADA:
2) Wadada mnataka wanaume wenye uchumi stable/wenye pesa za kutosha, ukifanya sensa ya kipato hapa Tanzania, ni asilimia ngapi ya vijana wa kiume walio kwenye umri wa kuoa (miaka 18-35) wanaopata walau tshs. Million 1 kwa mwezi? Na chances za wewe mdada kutongozwa na mkaka mwenye kipato cha hivo ni asilimia ngapi? Kelsea Dream Queen Demi Kalpana Dr criminal
Wawakubali tuu hato hao wa 150k maisha hayatabiriki...ukianza na mtu from scratch mtapanda nae mtafika huko kwny 1milion to millions..
 
Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26

Out there wakuu,

Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!

Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.

Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.

Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, mda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.

Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.

Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.

Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire( huo mda endelea kuchakata ila husipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.

Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.

Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.

Na log out,
Dr Criminal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool VPN unaitwa huku
 
Huu uzi utakuwa na wachangiaji wengi majobless
Kuwa jobless ni hatua katika maisha wala siyo dhambi na huyu huyu jobless mwisho wa siku anapata kazi au kuwa na biashara yake.
Mdada huyu huyu ambaye hataki jobless anajirengesha na matokeo yake wanaishia kumegwa, kuzalishwa na kuachwa kwasababu Jobless analipiza kisasi
 
Kuna watu wanahela lakini wake zao wanaliwa na bodaboda mpk mahouse boy.
Nyie ndiyo wale mnatafuta pesa ili uishi na mwanamke mzuri huku umesahau maisha ni hatua.
Siku umeyumba kiuchumi au umefukuzwa kazi mke anakukimbia.
Brother,
siogopi Kufilisika,Kufilisika kupo TU.

Na siwez kula/kuoa pisi mbovu eti naogopa ntachapiwa nkifilisika, wanwake wazur wengi sana mkuu wanazaliwa daily.

Nikichapiwa nafukuza naleta pisi nyingine,
Sikuzaliwa naye tumbo moja yule, As long as pesa IPO, ntajichagulia mrembo nnaemtaka atachukua nafasi yake.

Mkuu,
Sitafuti pesa ili niteseke,
Pesa inapaswa inifanye nifurahie maisha.
Mwanamke wa kunipasua kichwa na Hana Cha ziada nnachofaidi kwake namtupilia kushoto tu akifilie mbali uko.[emoji4]

Mwanamke Ni ua,
Mwanamke Ni urembo wa nyumba
Mke au demu wangu lazima anivutie nikimtizama ndo mambo mengn yatafata.

Kukimbiwa ukifilisika ni matokeo, waliosema
"filisika tujue tabia ya mkeo"
Au
"mwanaume pata pesa tuijue tabia yako"

Hawakua wajinga,

Huenda unayasema haya kwasababu hujapata pesa,
Ila nakuapia siku ukizipata hutotaka kula pisi mbovu, otherwise pesa zako za ndagu

KILA MWANAUME NDOTO YAKE KWANZA NI KUKOJOLEA PAZURI,MENGINE YATAFATA[emoji4]
 
Na wakipenda kupewa pesa, wajue pia kutoa shoo nzuri zinazohamasisha; sio jitu linakuja linakaa kaa tu likingojea kifo cha mende au mpaka ageuzwe geuzwe.
Hapa mzee baba umeongea jambo muhimu unakuta demu anapenda pesa huyoo njoo kwenye shoo mvivu hana hata amsha amsha nikikutanaga na wa namna hiyo huwa naonaga nimetapeliwa tu
 
Back
Top Bottom