Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanaume usiye na kazi usipende!

Hata mkibahatika kupata wanaume wenye hela na ni watoaji, mara nyingi huwa mnawapiga na vitu vizito.

Kuna documentary moja niliona YouTube, mzungu mmoja mwenye pesa alimpenda binti wa kifilipino, binti alikuwa anapewa $1000 ya matumizi kila mwezi, ndugu za binti walijengewa ghorofa, binti alipangiwa nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino na binti aliwekewa beki 3, binti alikuwa hafanyi kazi yoyote anaishi kwa raha.

Cha ajabu binti alitumia hiyo hela kumnunulia pikipiki Mkaka security guard, ambaye mshahara wake wa mwaka ndo hela anayopewa binti kwa mwezi, mkaka security guard na huyo binti walipanga njama wakamuua mzungu wa watu ili wao wabaki na mali waoane waishi pamoja, binti aligundulika akahukumiwa life sentence, cha ajabu siku ya hukumu hakuna hata ndugu wa binti mmoja aliyekuja mahakamani Demi
Nakaziaaa apa
 
Wanawake wengi hawatoagi support kwa wanaume, simaanishi support ya kipesa, i mean kumpikia mwanaume, kumfulia, kumdekia ghetto, kumfariji etc.. hawataki kufanya ayo wakidai hawajaolewa hivo sio majukumu yao, ila wanataka dushe na kupewa hela, na huyo huyo mwanaume anaepata 150k kwa mwezi Kalpana
Actually Ni sawa umenunua malaya, pay for sex and not everything else Balqior
 
Sitasahau Siku niliambiwa na mpenzi Wang neema kwamba nitafute kwanza hela nikipata nimtafute.

Nilipata Taabu sana kumsahau mbele ya Degree yangu ya Angriculture
Dunia adaha[emoji23][emoji23]
 
Jambo la msingi sana hili, nalo tukalituzame.

Lakini ukweli sasa hivi ukitaka kufurahia maisha tafuta kiasi chako, kubaliana na mtu, kutaneni sehemu muwekane hadi hamu zikate, mlipe ujira wake then tembea.

Haya mambo ya permanent relationship hata wenye ajira zao bado ni mtihani na mzigo mzito. Kulea wanawake nacho ni kipaji...
Sure thing mkuu
 
KWA sasa
Mahusiano Ni gharama,
Mahusiano yanahitaji uendeshaji,
Huna hela kaa TU kushoto wenzio wasongeshe gurudumu
Natafuta 10k, naenda site nachukua mzigo wa 5k napiga narudi zangu home mwepesi, nyie mnaotaka kupetiana endeeni kufilisika[emoji16]. Mahusiano ni hasara kwa Me na faida kwa Ke.
Hakuna Ke anaridhika hata umpe nini, siku ukianguka kiuchumi huna rangi utaacha ona.
 
Alafu mwanaume unakosaje kazi ya kufanya?
Ukiona huwez pata kazi basi hata mwanamke ukimpata kakuhurumia tu.

Mm nikishajua dem ana mshkaji asie na kazi nampa mambo mawili maisha safi na pesa lazima mjinga wake atoe chozi
 
Usiwaondolee wenzio ujasiri wa kujiamini.

Inategemea.

Kuna wanawake wanakazi na hela na wanachotaka kwa Mwanaume ni penzi na heshima na uaminifu na sio pesa.

Si wanawake wote wapo after money.

Though kwa bongo ni wachache sana!
Umesema kwel
 
Halafu kwa nini utafute pesa ili umfurahishe Ke, tafuta kwa ajili yako na furaha yako.

If possible ingia kwenye mahusiano ya "nipe nikupe", ukimhitaji unaandaa fungu lako, unaenda kuweka na kulipia huduma..mkimalizana kila mtu na hamsini zake, mmoja akimmiss mwenzake mnatafutana and it goes on like that.

Wekeza kwa Ke halafu utakuja kulia wallah!!
 
Wanawake wengi hawatoagi support kwa wanaume, simaanishi support ya kipesa, i mean kumpikia mwanaume, kumfulia, kumdekia ghetto, kumfariji etc.. hawataki kufanya ayo wakidai hawajaolewa hivo sio majukumu yao, ila wanataka dushe na kupewa hela, na huyo huyo mwanaume anaepata 150k kwa mwezi Kalpana
Yani hahaaa maisha yamebadilika sana siku hizi uvivu umekua mwingi muda wote mtu yuko gheton kwako huku yupo snapchat Anarusha picha ya pazia lako au msabufa wako huo mud wa kupika autoe wapi??
Ila hapa pia nyie mmechangia siku hizi hamtoi hela kama zamani halafu mnamademu zaidi ya mmoja so mdada anamua kutojitoa fully.
 
Mwanaume anaweza kuwa ni jobless leo lakini kesho akawa akapata kazi nzuri tu.

Ewe mwanamke mfurahie Mwanaume wako atazidi kukupenda hata akija kupata hela (ijapokuwa itategemea maana wengine nasikia hubadilika) akishapata hela hashikiki kwa umalaya.

Kama Mwanaume ametulia anakuheshimu basi usimdharau, usimchoke, usimfanyie visirani n..k.
Wewe[emoji23][emoji23]

Iko hivi ukimtoa mwanamke chini ukamleta Kwenye hadhi atakuja abebwe na waliokudhidi hadhi

Na ukikavumilia kamwanaume kakitoboa kanafata wale maslay queen
 
Kwanza nyie majobless mkipataga Kazi na vihela mnawaacha walowavumilia wakati hamna kitu...
Kama vipi majobless wauawe tu[emoji1787]
Sio sawa jaman mtuhurumie[emoji26][emoji23]
 
Back
Top Bottom