Mwanaume wa hivi ataachaje kuhonga ili naye apate raha?

Mwanaume wa hivi ataachaje kuhonga ili naye apate raha?

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,323
Reaction score
10,813
Mughonile!

Rafiki yangu kuanzisha Uzi hapa kisa kaniona Mimi nahonga na sihudumii familia yangu vizuri.

Kwanza rafiki tambua Mimi na Wewe tupo tofauti,
Mimi ninasura ngumu na isiyovutia, wakati wewe unasura laini ya Mama yako, bado unataka nisihonge, unafikiri hizi pisikali nitazipataje?

Embu niambie wanaume wa namna hii wataachaje kuhonga?
1. Sura mbovu
2. Mfupi kupitiliza au mrefu kupitiliza
3. Mwenye kibamia
4. Shoo mbovu anapiga dakika moja chali.
5. Kazi ya maana Hana,
6. Domo zege hawezi kutongoza.

Wanaume wa hivyo ataachaje kuhonga ili naye apate raha?

Tusipangiane Eboo!
 
Mughonile!

Rafiki yangu kuanzisha Uzi hapa kisa kaniona Mimi nahonga na sihudumii familia yangu vizuri.

Kwanza rafiki tambua Mimi na Wewe tupo tofauti,
Mimi ninasura ngumu na isiyovutia, wakati wewe unasura laini ya Mama yako, bado unataka nisihonge, unafikiri hizi pisikali nitazipataje?

Embu niambie wanaume wa namna hii wataachaje kuhonga?
1. Sura mbovu
2. Mfupi kupitiliza au mrefu kupitiliza
3. Mwenye kibamia
4. Shoo mbovu anapiga dakika moja chali.
5. Kazi ya maana Hana,
6. Domo zege hawezi kutongoza.

Wanaume wa hivyo ataachaje kuhonga ili naye apate raha?

Tusipangiane Eboo!
Usitufokee sisi Warusi wa Mkuranga...[emoji19]
 
Mi huwa naomba tu! Namwambia, "fulani, kama hutojali jmosi njoo kwangu niku trombe" Akikataa basi!

Mambo ya pesa, sijui swaga ya kazi gani!? 81% wananikubalia, nachakata mbususu, wengi wao ni tule tubinti tupole twa mtaani au majirani, single maza na tumke twa watu! Uzuri huwa sitangazi!
 
Mi huwa naomba tu! Namwambia, "fulani, kama hutojali jmosi njoo kwangu niku trombe" Akikataa basi!

Mambo ya pesa, sijui swaga ya kazi gani!? 81% wananikubalia, nachakata mbususu, wengi wao ni tule tubinti tupole twa mtaani au majirani, single maza na tumke twa watu! Uzuri huwa sitangazi!
Kuna biashara zingine ukitangaza tu, huuziwi ngoo, ila ukiwa mpole utauziwa hadi mwenyewe utachoka!!
 
Ndio maana sometimes kuna jamaa yangu huwa anajifanya teja ili awatafune vizuri.
 
Back
Top Bottom