Mwanaume wa kuzaa nae!

Kwenye makabila ndo umeniangusha dah aise
 
Hivi wakurya walikosea nn kila mtu utasikia hata mkurya kuna nini na mm nawaona tall humble and polite UCPOMUUDHI
 
Uwezo wakushika mimba unao lakini, maana isije kuwa shamba lenyewe lilisha haribiwa na mbolea ya viwandani
 

Too selfish:
-Baada ya mimba sihitaji tena mawasiliano nae
-Mtoto atakae zaliwa atakua wa kwangu 100%
-Naweza kumlipa ili asinitafute tena
-Kazi ni moja tuu kumpa mimba na kila mtu anashika uelekeo wake.

My dear life isn't made to be this selfish,just look in the mirror and try mould your ways for the better
 

Kuna kabila unalilenga funguka zaidi, mie mzigua.
 
Nipo tayari kkupa mimba
 
Umeshampata, omba mods waufunge huu uzi, au una nia ya kuusambaza zaidi?
 
Ngumu kumeza [emoji87] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…