Mwanaume wa kuzaa nae!

Mwanaume wa kuzaa nae!

MAMBO YA KUMSABABISHIA MTOTO NUKSI KUANZIA AKIWA MDOGO NDIO HAYA.MTOTO ANAJUA BABA AMEKUFA KUMBE BADO YUPO BAADAYE ANAKUJA KUMTONGOZA DADA YAKE AU MDOGO WAKE BILA YA KUJUA!! AU AKIWA WA KIKE NA WATOTO WA SIKU HIZI WANAVYOKUA HARAKA BABA ANA MIAKA 50 MTOTO TAYARI ANA 20 NA TAYARI KWA MATUMIZI YA BINADAMU! FIKIRIA VIZURI KUHUSU SUALA LA BABA.MTU AKIWA ANAJUA TU YULE NI MTOTO WANGU NA UMEKUBALI MWENYEWE HAUTA-MUHAMISA MABETO HUYO MWANAUME HAKUNA SHIDA KWANI NANI ATATAKA NDOA YAKE IHARIBIKE KWA MKE WA SIKU MOJA
 
Umeshampata, omba mods waufunge huu uzi, au una nia ya kuusambaza zaidi?
JAMAA WAMESHAANZA WIVU ETI UZI UFUNGWE.HAYA NDIO YALE MAKABILA YA KIZARAMO ULIYOKUWA HUYATAKI.WATAKUGANDA HAO BARAA
 
HUYU MAMA NAYE ATAKUWA NI MUHENGA.NA AMEJERUHIWA NA HAYO MAKABILA YOTE HAPO.HIYO MIMBA UTAMWINGIZIA KWA MASHARTI HAYO.MPAKA HAMU YA PAPUCHI ITAISHA
 
Mahandsome na maji ya kunde wapo instagram na facebook . Aiseeeh noma saaana
 
Hujataja kazi na uwezo wako kifedha. Mtu hawezi kukuachia dam yake then mtoto ateseke
 
MM nipo but inatakiwa tupime kabisa maana inaweza ikawa 'mbuzi kwenye gunia'.
 
Ww kabila gani kwanza usigekuwa mchaga tukazaa hlf ukaniuA...umeshindikana huko na mume umekosa unataka kununua shahawa pita kushoto....
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Duh nipe fursa hahahaha
 
Hayo makabila ambayo hayataki amewahi kudate não na huenda walimuumiza.
 
Back
Top Bottom