Mwanaume wa kuzaa nae!

Mwanaume wa kuzaa nae!

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Kuna sifa gani hujaipenda kwenye hayo makabila uliyoyataja?
 
Toa CV yako basi maana wengine tuna sifa zote hizo ila hauna uwezo wa kunilipa so ntakupa mie bure
 
Huyo mwanamke hana uzuri wowote ndio maana anahangaika kibaya chajitangaza
 
Nina sifa hizo lakini hapana,Damu yangu niikane ?
Hata ungenipa dunia siwezi heri nife maskini
 
We tafuta comment ila sioni cha maana hapo mbona unaliwa kila cku km ungekuwa wa kupata mimba ungesha zaa acha kusumbua waume za watu
 
Hii inaweza kuwa mtego. Kwa nini awe mme wa mtu? Wakina Hamisa Mobeto wako wengi sana.
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.



Njoo kwangu, nikuonyeshe na sample za mbegu ninazogawa.
 
Ni pm, bao moja najaza kikombe cha ghahawa!! Pia ukihitaji mapacha utapata, ila kupima muhimu usijenipa zawadi ya virusi bure maana sivihitaji.
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Mimi sifa ninazo ila weka vipimo vya VVU hapa. Ila kama hutaki nimuone mtt itabidi unilipe ghali sana.
 
Zitto siyo mbishi kabisa. Ni cha mtoto....
Muha huwa anabishia mpaka jina lake!
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
njoooo hukuuu ni PM fasta
 
Back
Top Bottom