Mwanaume wa shoka utamjuaje

Mwanaume wa shoka utamjuaje

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mwanaume wa shoka ni mvumilivu na asiyekata tamaa. Mambo yakiwa magumu anaweza kupigana na maisha, akiwa na pair moja ya viatu, suruali pair mbili. Anatoka asubuhi iwe jua iwe mvua anahakikisha watoto wamekula na ada za shule amelipa. Kuna watakaomcheka kwakua viatu vyake vimekwenda upande lakini kilicho akilini mwake ni kuona watoto na mke wanafuraha na amani.

Uki cheat kwa mwanaume wa aina hii, utapata laana.
 
Mwanaume wa shoka ni mvumilivu na asiyekata tamaa. Mambo yakiwa magumu anaweza kupigana na maisha, akiwa na pair moja ya viatu, suruali pair mbili. Anatoka asubuhi iwe jua iwe mvua anahakikisha watoto wamekula na ada za shule amelipa. Kuna watakaomcheka kwakua viatu vyake vimekwenda upande lakini kilicho akilini mwake ni kuona watoto na mke wanafuraha na amani.

Uki cheat kwa mwanaume wa aina hii, utapata laana.
Sasa na yeye mwanaume akiteleza akapindua pisi kali mtaani inakuaje
 
Mwanaume wa shoka ni mvumilivu na asiyekata tamaa. Mambo yakiwa magumu anaweza kupigana na maisha, akiwa na pair moja ya viatu, suruali pair mbili. Anatoka asubuhi iwe jua iwe mvua anahakikisha watoto wamekula na ada za shule amelipa. Kuna watakaomcheka kwakua viatu vyake vimekwenda upande lakini kilicho akilini mwake ni kuona watoto na mke wanafuraha na amani.

Uki cheat kwa mwanaume wa aina hii, utapata laana.
Tupo
 
Mwanamke kumjua nishasoma vitabu Kama 100 hivi Sijaambulia kitu,ama Kweli
 
Mwanaume wa shoka hana demu yeye kama yeye hana mambo mengi hataki karaha mtu wa kutulia muda mwingi akisubiri kifo
 
Mwanaume wa shoka ni mvumilivu na asiyekata tamaa. Mambo yakiwa magumu anaweza kupigana na maisha, akiwa na pair moja ya viatu, suruali pair mbili. Anatoka asubuhi iwe jua iwe mvua anahakikisha watoto wamekula na ada za shule amelipa. Kuna watakaomcheka kwakua viatu vyake vimekwenda upande lakini kilicho akilini mwake ni kuona watoto na mke wanafuraha na amani.

Uki cheat kwa mwanaume wa aina hii, utapata laana.
mnyazi mungu akubariki sana wewe na uwapendao
kundi lenu mpo wachache sana mnaotambua hilo
 
Baada ya kusoma ikabidi nitizame chini, niangalie hizi katambuga zangu, nasubiri kauka nikuvae zangu zikauke nivae nitoke.. Mvua inanichelewasha kutoka
 
Back
Top Bottom