Hao ni wanaume wa zamani, je wa kisasa wanatongozaje?
Hamna mod wa kike???:disapointed::disapointed::disapointed:Kama ni JF modes atakuwa anakupiga ban za mara kwa mara ili ujibu PM:-*
Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke
1: Akiwa Bar na wamekaa meza moja atazungusha raundi hata kwa hela za kukopa
2: Daladalani atakuwa gentle na kukulipia nauli hata kama ilikuwa yake ya kurudia
3: Kazini atakua anakusifia na kukununulia Lunch-vi tripu tripu na ni promo kama kawa
4: Boss na mwalimu hawa uwa wakali na wafokaji na kuweka mazingira ya uwoga ili akitongoza asikataliwe na Dukani na Masokoni utakuwa unaongezewa kipimo.
Kama ni JF modes atakuwa anakupiga ban za mara kwa mara ili ujibu PM:-*
Asikuzengue Rose annza hivi
Mode habari yako bana hivi mbona thread haszidisplay
au yangu computer inatatizo upande wa display
sometimes na force CD labda au pengine zaita play
Chakushangza za wengine zoote wanadai zina fly
Hili tatizo ni la muda mrefu linatatiza yangu akili
Sipendi lizidi kunisumbua itanibidi ninywe moja kili
aanzia hapo
Hamna mod wa kike???:disapointed::disapointed::disapointed:
Sijakupata hapa mzee
heeeeeeeeee nini?
komaaa weee mod wa kike unamtakaje?
mi kutoka nje ya BOKS lako haina maana sikupend its just m doin ma ADVENTURE..so u just wwait for me i wl b bak....
ameoa...so wat?
inanihusu nini mimi labda?
we vp bwna..KWAN NDOA NDO NIN?
ebu ukooo tokazako mod mwenzangu ma hat goesss mwaaaaapwaaaaaaaabwaaaaaaaaaaaa anytime m thnkng abt u...ngoja nikamchek nguli anpe mistar dnt go ..nsubiri apo apo...