Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Avae kibukta cha kumbana na juu apige kashifoni fulani na anukie sana.Mumewe hatatoka tenaKama ni bia mnunulie kreti alewee nyumbani.....
Kazi anafanya saa ngapi? Au wewe ndio provider manka?
Mmmh.. mimi mke wangu alifunga miezi 3 yaani ndio kama alizidisha speed kuendelea kunywa.Funga tatu kavu.
Usisahau kunishukuru badae
Alifunga miezi mitatu, na sio siku 3 mfulululizo bila kujizuia na chochote kinachoharibu funga.Mmmh.. mimi mke wangu alifunga miezi 3 yaani ndio kama alizidisha speed kuendelea kunywa.
Kuna tofauti gani kufunga mwezi mzima na siku 3 bila kula?Alifunga miezi mitatu, na sio siku 3 mfulululizo bila kujizuia na chochote kinachoharibu funga.
Endelea kumsaidia nina uhakika kwa support yako ataweza kuacha. Ninao watu waliokuwa walevi sugu kwelikweli nikiwemo mimi mwenyewe. Tena bia tulishaacha, zikawa ni pombe kali tu. Leo imebaki ni historia na waliokuwa msaada ni wenzi wetu.Naomba ushauri.
Nina mwanaume wangu lakini ana tabia ya ulevi uliokithiri yani kulewa mpaka asubuhi na huendelea siku inayofuata mfululizo.
Kila wakati anaomba msamaha kubadilika hali ni ile ile. Kwa wazoefu unahisi anaweza kubadika au kwenye Ndoa vitendo vitazidi. Nimevumilia yapata miaka miwili now lakini bado tabia ipo.
Tatu kavu.,ni unafunga masaa 72.Kuna tofauti gani kufunga mwezi mzima na siku 3 bila kula?
Kwamba dawa ya kuacha pombe kwa mwenza ni kufunga siku Tatu.Kuna tofauti gani kufunga mwezi mzima na siku 3 bila kula?
Mkuu sasa saidia hapa pombe naachaje?? Usifanyeje wewe ukaacha. Utasaidia wengi sanaEndelea kumsaidia nina uhakika kwa support yako ataweza kuacha. Ninao watu waliokuwa walevi sugu kwelikweli nikiwemo mimi mwenyewe. Tena bia tulishaacha, zikawa ni pombe kali tu. Leo imebaki ni historia na waliokuwa msaada ni wenzi wetu.
Kuna tuliowapoteza (RIP) kwenye ulevi ila wale tulioacha, tumeacha jumla. Urahibu ni janga kwelikweli na kwa wengi bila msaada wanapotea jumla, ni li monster la hatari kweli kweli. Ukimkimbia unaweza kuwa umemmaliza jumla.
Kuna wenzetu wawili wake walichoka wakaondoka, kuna wiki siku 2 nzima mmoja haonekani kazini na si kawaida yake, kwenda kwake kumbe jamaa ashakata kamba siku 2 nyuma (Jumapili) kwa kuzidisha pombe bila chakula akiwa peke yake. Wa pili naye alijifia akiwa mpweke bila msaada wowote pamoja na kuwa msomi mkubwa na mafanikio lukuki, chanzo kikiwa ni pombe bila msosi wala mtu wa kumsaidia.
Pombe za kunywea nyumbani hazinogi.Kama ni bia mnunulie kreti alewee nyumbani.....
Kazi anafanya saa ngapi? Au wewe ndio provider manka?
Mkuu tatizo hakuna formula unayoweza kusema utashea na mtu ikamsaidia. Cha msingi kilichonisaidia ni counselling na mimi mwenyewe kuona sasa ninahitaji msaada, ni pale unapodhamiria kwa dhati ya moyo. Ukifikia hatua hiyo na ukawa na support ya watu wako wa karibu na ushauri wa kisaikolojia inawezekana kabisa.Mkuu sasa saidia hapa pombe naachaje?? Usifanyeje wewe ukaacha. Utasaidia wengi sana
Alianza hiyo tabia ya kulewa baada ya kufunga naye ndoa, au hata kabla ya ndoa alikuwa na hiyo tabia?Naomba ushauri.
Nina mwanaume wangu lakini ana tabia ya ulevi uliokithiri yani kulewa mpaka asubuhi na huendelea siku inayofuata mfululizo.
Kila wakati anaomba msamaha kubadilika hali ni ile ile. Kwa wazoefu unahisi anaweza kubadika au kwenye Ndoa vitendo vitazidi. Nimevumilia yapata miaka miwili now lakini bado tabia ipo.
Kweli mkuuWengi wanaokunywa pombe kupindukia wana jambo linalowasumbua kwenye maisha yao ambalo wamefeli namna ya kuli handle. Anzia hapo kwanza ujue ni nini kinamsibu.
Wenzetu wanapata wapi pesa za kulewa kila siku?Naomba ushauri.
Nina mwanaume wangu lakini ana tabia ya ulevi uliokithiri yani kulewa mpaka asubuhi na huendelea siku inayofuata mfululizo.
Kila wakati anaomba msamaha kubadilika hali ni ile ile. Kwa wazoefu unahisi anaweza kubadika au kwenye Ndoa vitendo vitazidi. Nimevumilia yapata miaka miwili now lakini bado tabia ipo.