Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LEWA ZAIDI YAKENaomba ushauri.
Nina mwanaume wangu lakini ana tabia ya ulevi uliokithiri yani kulewa mpaka asubuhi na huendelea siku inayofuata mfululizo.
Kila wakati anaomba msamaha kubadilika hali ni ile ile. Kwa wazoefu unahisi anaweza kubadika au kwenye Ndoa vitendo vitazidi. Nimevumilia yapata miaka miwili now lakini bado tabia ipo.
Anatumia zote beer na hizi kali. Ubaya zaidi anatumia pesa nyingi Bar zaidi ya laki tano na kuendelea Akilewa kurudi asubuhi kwa uzoefu wenu wadau je swala la ndoa hapa litawezekana au nirudi kwetu Marangu? Je anaweza kubadilika kama anavyosema🥲🥲kwa kweli swala la pombe ni swala gumu sana,
kwanza anatumia pombe gani?? ni beer au hizi kali za kwenye plastiki za siku hizi???
je anaweza kufanya kazi zake? kama ni beer tu anakunywa basi huyo bado hana matatizo sana ila kama ameshaingia kwenye hizi za kisasa za akina kisungura basi hapo anahitaji sala na maomnbi ya kutosha
Akiwa kalewa hajitambui chukua yai la kuku lipasue halafu mwagia ute kiasi katikati ya matako uone kama ataendelea kulewaNaomba ushauri.
Nina mwanaume wangu lakini ana tabia ya ulevi uliokithiri yani kulewa mpaka asubuhi na huendelea siku inayofuata mfululizo.
Kila wakati anaomba msamaha kubadilika hali ni ile ile. Kwa wazoefu unahisi anaweza kubadika au kwenye Ndoa vitendo vitazidi. Nimevumilia yapata miaka miwili now lakini bado tabia ipo.
Hebu jaribu kumwacha kwa majaribio uone kama atashituka...unaweza kuja kukaa kwangu kwa wiki nzima!!!Anatumia zote beer na hizi kali. Ubaya zaidi anatumia pesa nyingi Bar zaidi ya laki tano na kuendelea Akilewa kurudi asubuhi kwa uzoefu wenu wadau je swala la ndoa hapa litawezekana au nirudi kwetu Marangu? Je anaweza kubadilika kama anavyosema🥲🥲