Mwanaume wangu analewa kupindukia. Nifanyeje aweze kuacha?

LEWA ZAIDI YAKE
 
Dawa nzuri tafuta kwanza sababu inayomfanya anywe pombe. Kisha ndo umpe dawa
 

Attachments

  • 1717236952349.jpg
    92.6 KB · Views: 3
Suala la kuacha pombe ni maamuzi ya mnywaji kuacha.
Nilikuwa na mtu wangu wa Karibu alishindwa kuvumilia unywaji wa mume wake nae akasalenda ndoa na kuondoka na watoto wake matokeo mume nae aliekuja kupoteza kazi maana pombe ilifika Hadi ofisini. Shortly, kuwa mvumilivu ishi nae unapoweza kumsaidia msaidie, usimkatie tamaa IPO siku atafanya maamuzi binafsi ya kuacha.
 
Anatumia zote beer na hizi kali. Ubaya zaidi anatumia pesa nyingi Bar zaidi ya laki tano na kuendelea Akilewa kurudi asubuhi kwa uzoefu wenu wadau je swala la ndoa hapa litawezekana au nirudi kwetu Marangu? Je anaweza kubadilika kama anavyosema🥲🥲
 
Akiwa kalewa hajitambui chukua yai la kuku lipasue halafu mwagia ute kiasi katikati ya matako uone kama ataendelea kulewa
 
Bila shaka wewe ni Mkibosho kama huyo mumeo.

Huyo ni mlevi tu kama walevi wengine. Usitarajie abadilike.

Achana naye mapema.

Huko Kibosho kuna walevi wengi na hawaambiliki.
 
Hebu jaribu kumwacha kwa majaribio uone kama atashituka...unaweza kuja kukaa kwangu kwa wiki nzima!!!
 
Wewe mwenyewe Mushi.. akina mangi wote wako hivo.... Vp kitimoto anatumia??? Bila shaka na hiyo nayo ndio mambo ya kibosho, marangu na rombo huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…