Kizazi cha hovyo. Wazazi wetu wengi wana sura zao halisi, hawana upumbavu wa "shepu". Sasa sijui unamsimanga baba yako? Eti mwanamume rijali, acha tozo ziendelee tu. Nchi imejaa wajingaMwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Punguza woga. Jipatie mwanamke mrembo wewe sio gaidiMwanamke mrembo wa sura na shepu ana competition sana, sasa kama uko tayari kuacha kazi zako na kuanza kumlinda mkeo oa mwenye shepu na sura ambaye kila mtu anamtolea macho kuanzia boda boda hadi mkurugenzi ofisini!
Ah kweli ni gumu maana kutombewa demu sikia tuu inauma kinomaa ila sasa utafanyaje mwanawane.Hilo la sio yako ndio gumu
Mbn wewe Ni mrembo snNimejitizama sina kigezo,
naonewa huruma tu,
Hahahahahah ni kweli mi sio Hamza ila sitaki tu Jakamoyo. 😂😂😂Punguza woga. Jipatie mwanamke mrembo wewe sio gaidi
Mwanamke mrembo wa sura na shepu ana competition sana, sasa kama uko tayari kuacha kazi zako na kuanza kumlinda mkeo oa mwenye shepu na sura ambaye kila mtu anamtolea macho kuanzia boda boda hadi mkurugenzi ofisini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahah ni kweli mi sio Hamza ila sitaki tu Jakamoyo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Maswala unakaa kwa hasira kila wahuni wanapomtolea macho mkeo. Unaanza kumpekua simu hovyo ujinga ni mwingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzab zab ni mwanaume ila hii nimefurahia Extrovert hujakosea
Maana hawana shape wanapenda wanaume mabaunsa waliachia juu na wanaume wenye vifua vipana kuna wanyanyua vyuma na waliojaliwa vifua wanawake wanane wanapenda wanaume wembambaNa wanawake wasio na shape wao wanapenda men wa aina gani ?
🤣🤣🤣🤣Dah..watu wana kashfa nyie!Tena liwe jimama hivi vidogo dogo havina supu vimekondeana sometime hujui anataka mapenzi au anataka chakula.
Kwan wao wamekatazwa kupenda wanaume mahandsome na body builders?Yani wanaume bhana
Wanawake wakipenda wanaume wenye pesa na mali ni nongwa lakini ninyi kupenda wanawake wenye sura na tako hewala tu
Anyway ndiyo mvumilie vitimbwi vyao sasa siyo mkipigwa matukio mnaanza kulialia as if it's a surprise to you wakati mnawafahamu fika
Yes kweli tunawapenda hawa wanawake ila mara nyingi wanaishia kuwa michepuko yetu, tunapotaka kuanzisha familia huwa tunaangalia zaidi akili na uwezo wa mwanamke kwenye kupambanua mambo. Kwa mwanaume aliepata vyote hivo kwa mwanamke mmoja basi ni bingo.Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
NakaziaMwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Sasa wew hao unashindwaje kuwapataa???Nakazia