Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Hisia zinakuwepo?Wewe tu ndo unapenda mwenye shepu na sura nzuri wengine wote wanapenda WENYE sura mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hisia zinakuwepo?Wewe tu ndo unapenda mwenye shepu na sura nzuri wengine wote wanapenda WENYE sura mbaya
Hahah! Dah! Ki ben ten siyo?Kama hauna pesa ntakufanya house boy......mim Sina tako najua kutafuta pesa ntakulea utakavyo
Nakubali kakaMwanamke Ni pambo na ua la nyumba[emoji4]
Ndo manakeHahah! Dah! Ki ben ten siyo?
Siyo kweli, kama ni hivyo baadhi yetu tusingepata waume.Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Wengi wanaogopa kuoa wenye shepu, ili kuepusha migogoro isiyokuwa ya lazimaSiyo kweli, kama ni hivyo baadhi yetu tusingepata waume.
Wanaume wana vigezo tafauti kwa wanawake. Kuna wanaopenda macho, mikono, miguu, shape, urefu, ufupi na kadhalika.
Ndiyo maana ukaambiwa 'uzuri wa mtu uko kwenye macho ya mtazamaji' (tafsiri yangu)
Hao wanakesha wakiomba tu 😂😂😂Na wanawake wasio na shape wao wanapenda men wa aina gani ?
Kwa hiyo unashauri tuendelee kuoa mapoligoniMwanamke mrembo wa sura na shepu ana competition sana, sasa kama uko tayari kuacha kazi zako na kuanza kumlinda mkeo oa mwenye shepu na sura ambaye kila mtu anamtolea macho kuanzia boda boda hadi mkurugenzi ofisini!
Hao ndio walau usumbufu sio mwingi. Mtu ataona wa kawaida hivyo haangaiki naeKwa hiyo unashauri tuendelee kuoa mapoligoni
ha ha tutafute helaWalaji wa mwisho (wanaume) yani kama hauna pesa wanawake wazuriiii hauwezi kuwala mpaka unakufa, utakula hawa wa saizi ya kati na sampuli nyingine nyingine zenye UTI
Ladha ganiHawa wanaojitengeneza, huwa wana ladha kweli?
Type zako ndio kama zipi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kumtisha kijana wa watuHehehe inaonekana una hela hizo pisi si mchezo
Wewe ata mwanamke wa kawaida pia halindwi...wanaume tuna akili za ajabu. Wee kioe kitu moyo inapenda. Cha msingi unue tuu mbususu siyo yako peke yakoMwanamke mrembo wa sura na shepu ana competition sana, sasa kama uko tayari kuacha kazi zako na kuanza kumlinda mkeo oa mwenye shepu na sura ambaye kila mtu anamtolea macho kuanzia boda boda hadi mkurugenzi ofisini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishawaonaga live lakini?
Hilo la sio yako ndio gumuWewe ata mwanamke wa kawaida pia halindwi...wanaume tuna akili za ajabu. Wee kioe kitu moyo inapenda. Cha msingi unue tuu mbususu siyo yako peke yako