zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
True say umasikini daah sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True say umasikini daah sio poa
SawaWeka kapicha
AsanteNa mwanamke yeyeto mzuri mwenye shape upenda mwanaume mwenye pesa
We si hupendi mwenye hela, njoo hukuAsante
Me napenda mwenye akili timamu 😊We si hupendi mwenye hela, njoo huku
Zote ninazoMe napenda mwenye akili timamu 😊
Kama hauna pesa ntakufanya house boy......mim Sina tako najua kutafuta pesa ntakulea utakavyoZote ninazo
Utanifanya niuze nyumba ya urithiKama hauna pesa ntakufanya house boy......mim Sina tako najua kutafuta pesa ntakulea utakavyo
Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli shostSisi wenyewe tunapenda wanaume wenye mionekano mizuri ,wananukia vizuri na wenye helaaaaaaaaaa
Usiiguse hyo ni kwa ajili ya watoto tutaopata.....ww Kazi Yako ni ndogo sana...... kulala chumba kinachofuata baada ya mlango wa chumba changu.....na uegeshe mlangoUtanifanya niuze nyumba ya urithi
Hawa wanaojitengeneza, huwa wana ladha kweli?Wacha wachina na waturuki waendelee kutupambania tupate hizo shepu na sura mnazotaka 😆😆😆😆
Kutengana vyumba ni sawa na kuingia motoniUsiiguse hyo ni kwa ajili ya watoto tutaopata.....ww Kazi Yako ni ndogo sana...... kulala chumba kinachofuata baada ya mlango wa chumba changu.....na uegeshe mlango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear mic u mnoooo.Yani wanaume bhana
Wanawake wakipenda wanaume wenye pesa na mali ni nongwa lakini ninyi kupenda wanawake wenye sura na tako hewala tu
Anyway ndiyo mvumilie vitimbwi vyao sasa siyo mkipigwa matukio mnaanza kulialia as if it's a surprise to you wakati mnawafahamu fika
Kheeeeeeh mbna Dunia ni Duara.Wanaume hatupendi tunatamani, mara nyingi upendo huja mbele ya safari baada ya tamaa.
Umezumgumzia vitu viwili tofauti, wa kuwekwa ndani ni mwanamke sasa huyu ndio wengi wanazungumzia uzuri wake tabia, hapa kila mtu na kigezo chake, akiwa na nyongeza ya uzuri ni kama kutia asali kwenye juisi ya ndizi.
Sasa kuna hawa wengine CHAPA ILALE, hawa kigezo ni uzuri, Tabia atamuonesha mzazi wake nyumbani, sie tunakuwa tunataka msambwanda na vinginevyo.
Ndio maana unakuta mchizi ana mke wa kawaida ila mchepuko mkali ni kwamba hana vigezo vya kuitwa mke, ni tamaa tu, wanaume wengie hawachiti sababu hawawapendi wake zao ni sababu ya MATAMANIO TU.
Ndo mana nkasema egesha mlango tuKutengana vyumba ni sawa na kuingia motoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaaaa hebu sema kweliNimejitizama sina kigezo,
naonewa huruma tu,
Hawa wanaojitengeneza, huwa wana ladha kweli?
Hapa bila huruma sitoboi[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaaaa hebu sema kweli
Pia dunia ni tambara bovu.Kheeeeeeh mbna Dunia ni Duara.