Mwanaume yeyote anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri

Mwanaume yeyote anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri

Yani wanaume bhana

Wanawake wakipenda wanaume wenye pesa na mali ni nongwa lakini ninyi kupenda wanawake wenye sura na tako hewala tu

Anyway ndiyo mvumilie vitimbwi vyao sasa siyo mkipigwa matukio mnaanza kulialia as if it's a surprise to you wakati mnawafahamu fika
Waache waendelee kujifanya hawatufahamu sisiwenye sura za baba
 
Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.

Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Huo ndio ukweli​

Ukweli ni kwamba ''shepu na sura nzuri'' ni relative term. Mr A anaweza kuona Mrs B ana shepu na sura nzuri lakini watu wengine wakaona vingine. Na zaidi mwanamme huwa anaangalia mambo mengine mengi zaidi sura na shape.
 
Ukweli ni kwamba ''shepu na sura nzuri'' ni relative term. Mr A anaweza kuona Mrs B ana shepu na sura nzuri lakini watu wengine wakaona vingine. Na zaidi mwanamme huwa anaangalia mambo mengine mengi zaidi sura na shape.
Kuna shepu zingine zikipita, kila mwanaume lazima atageuka kumtazama
 
Kuna shepu zingine zikipita, kila mwanaume lazima atageuka kumtazama
Tatizo siyo kugeuka. Wanageuka kwa sababu gani? Tuulize sisi wakongwe. Shepu siyo kigezo cha mwanamke kupendwa. Shepu inafanya wanaume watamani kufanya experiment zao lakini siyo kumiliki. Uzoefu umeshatufunza mengi na kama utakuwa fair utakubaliana na mimi kuwa wanawake wenye shepu nzuri ndiyo hupata wakati mgumu kuolewa japo wanatumika sana kwa kukata kiu.
 
Tatizo siyo kugeuka. Wanageuka kwa sababu gani? Tuulize sisi wakongwe. Shepu siyo kigezo cha mwanamke kupendwa. Shepu inafanya wanaume watamani kufanya experiment zao lakini siyo kumiliki. Uzoefu umeshatufunza mengi na kama utakuwa fair utakubaliana na mimi kuwa wanawake wenye shepu nzuri ndiyo hupata wakati mgumu kuolewa japo wanatumika sana kwa kukata kiu.
Nakubaliana na hoja yako, kuishi naye ni vigumu kwa sababu anakuwa anahitajika na watu wengi
 
Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.

Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Huo ndio ukweli​

Huo ni uongo mtupu.

Unayemuona mzuri,ninamuona mbaya.

Unayemuona mbaya,ninamuona mzuri.
 
Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.

Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.

Huo ndio ukweli​

Sema Hakyanani!!
 
Back
Top Bottom