Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shepu ipoHongera sana 😅
kama kiasi gani cha hela?Sisi wenyewe tunapenda wanaume wenye mionekano mizuri ,wananukia vizuri na wenye helaaaaaaaaaa
Nitajuaje?Shepu ipo
Unazipeleka wapi?Nauza na kununua accounts za jamii forums 🙏
Nyingii ziishe 😂😂😂😂kama kiasi gani cha hela?
Yaliyo yamo lkn...Sisi wenyewe tunapenda wanaume wenye mionekano mizuri ,wananukia vizuri na wenye helaaaaaaaaaa
😳utatuweza wote kweli
Hela muhimu sanaBro tafuta hela , hakuna mwanamke mzuri mbele ya hela
Kweli mkuuKweny mapenz ckuiz pesa ndio funguo [emoji359] mkuu
Wanawake ckuiz wamekuwa cheaper sna ukiwatangulizia pesa mbele ila ukitaka uonekane c lolote c chochote peleka maneno matupu [emoji23][emoji23]
KapichaNitajuaje?
Kama kashepu kapo, hakuna shidaNyingii ziishe 😂😂😂😂
Wanasema, bora wapate anayepumua tuNa wanawake wasio na shape wao wanapenda men wa aina gani ?
Ukishapelekea moto inabidi kupunguza mazoea ili kuepusha msongamanoYani wanaume bhana
Wanawake wakipenda wanaume wenye pesa na mali ni nongwa lakini ninyi kupenda wanawake wenye sura na tako hewala tu
Anyway ndiyo mvumilie vitimbwi vyao sasa siyo mkipigwa matukio mnaanza kulialia as if it's a surprise to you wakati mnawafahamu fika
Kuna wengine, mpaka kuvuta hisia inabidi uzime taa kwanzaWanaume hatupendi tunatamani, mara nyingi upendo huja mbele ya safari baada ya tamaa.
Umezumgumzia vitu viwili tofauti, wa kuwekwa ndani ni mwanamke sasa huyu ndio wengi wanazungumzia uzuri wake tabia, akiwa nna nyongeza ya uzuri ni kama kutia asali kwenye juisi ya ndizi.
Sasa kuna hawa wengine CHAPA ILALE, hawa kigezo ni uzuri, Tabia atamuonesha mzazi wake nyumbani, sie tunakuwa tunataka msambwanda na vinginevyo.