Mwanaume yupi ukiolewa nae utaenjoi sana ndoa?

Mwanaume yupi ukiolewa nae utaenjoi sana ndoa?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Kuna swali hapa nimeulizwa

Money Penny, eti mwanaume wa ngapi kuzaliwa ni mzuri na utainjoi ndao ukiolewa nae?

Mwanaume wa Kwanza kuzaliwa?

Mwanaume wa Mwisho kuzaliwa?

Mwanaume wa nne kuzaliwa?
Nyuzi zangu:

Kaka wa kipare ashindwa kumtongoza Vera Sidika....
Story: Fumanizi la ukubwani

 
Hahahahahaha mwanamke yeyote first born ntamla na sitaki kudumu nao, wengine demu mwenye pacha siwataki labda pacha awe ameolewa na awe ametulia ni uchuro, mwanamke mwenye jina herufi ya katika abcdefg....kama herufi yake inatangulia simtaki aidha nimzidi au tuwe sawa, mfano mimi ni Shazi sasa wenye majina aneth, Asha, jackline siwataki, shadia, subiria, Suzana na kuendelea
 
Kuna swali hapa nimeulizwa

Money Penny, eti mwanaume wa ngapi kuzaliwa ni mzuri na utainjoi ndao ukiolewa nae?

Mwanaume wa Kwanza kuzaliwa?

Mwanaume wa Mwisho kuzaliwa?

Mwanaume wa nne kuzaliwa?
Nyuzi zangu:

Kaka wa kipare ashindwa kumtongoza Vera Sidika....
Story: Fumanizi la ukubwani

Olewa na anayekunywa Konyagi, hutojuta.
 
Hahahahahaha mwanamke yeyote first born ntamla na sitaki kudumu nao, wengine demu mwenye pacha siwataki labda pacha awe ameolewa na awe ametulia ni uchuro, mwanamke mwenye jina herufi ya katika abcdefg....kama herufi yake inatangulia simtaki aidha nimzidi au tuwe sawa, mfano mimi ni Shazi sasa wenye majina aneth, Asha, jackline siwataki, shadia, subiria, Suzana na kuendelea
we utakuwa mzaliwa wa 6, mkorofiiiiiii
 
Back
Top Bottom