Mwanaume zilinde 'Shahawa' zako, huo ndo uhai wako

Utafiti BINAFSI niliofanya nimegundua umwagaji wa kahawa kuelekea vikombe tofauti una matokeo tofauti kwa muhusika aliemwaga!

Ukimwaga kwa huyu unajikuta upo fresh kana Kwamba hakuna nguvu uliyopoteza LAKINI kwa yule unajikuta umeishiwa nguvu Sana tofauti na mwingine!!Yaani inaweza hisi umekosa NGUVU za miguu na unaweza kuanguka KABISA!

Utafiti huu ulinishangaza Sana wakati ule ndio nakua kua kidume,nilishtuka Sana nikaacha muelekeo ule!nilisoma kitu cha ajabu Yaani inakuaje kwa maria natoka fresh tu lakini kwa mwajuma nachoka vile kana Kwamba nimenyonywa nguvu zote na Sina nyingine tena!!?

Big up mleta mada!Ngono ndio tendo linalopoteza Sana focus kiroho,kimwili Hadi nafsi!!!Tulinde Sana via vyetu vya uzazi AISEH!!
 
upo sahihi sana, smbegu si ya kupanda kila ardhi.
huwezi kulima kahawa dar es salaam.
 
Huu ndio uzi wa karne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…