Mwanaume zilinde 'Shahawa' zako, huo ndo uhai wako

Mwanaume zilinde 'Shahawa' zako, huo ndo uhai wako

Zimwagwe kwa mmoja tu... maana unajua kuna wanaume wao wandhani angali wana mbegu basi wanatiatia tu hovyo au wanapiga punyeto au wanaangaia porn mpaka wanamwaga shahawa zao bure... hiyo ndo haitakiwi.

Shahaa ni kitu cha thamani sana kinatakiwa kulindwa
Sawa mushi nimekuelewa,uaminifu uchakue nafasi jaman tutulie na wenza wetu
 
Uzinzi ni starehe yenye gharama kubwa sana duniani kimwili na kiroho.

Uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama, matokeo yake ni ya haraka sana.

Hakuna dhambi ambayo Mungu anaichukia kama uzinzi, na ni dhambi ambayo imeandikwa mara nyingi sana katika vitabu vya dini.

Ushauri tukaze moyo wakuu, tusiziangamize nafsi zetu kwa malaya, fanya kazi kwa bidii wekeza pesa ili uvute mke wako ndani, uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, hakika baraka na neema zitakumiminikia
 
Kuna uzi uliwahi kuletwa humu jukwaani ukiwa na jina la 'No fap challenge'. Kwa haraka haraka ulikuwa unaonekana kwamba ni uzi wa kipumbavu na wakujifurahisha.

Ambao hawakubahatika kusoma uzi huo, maudhui yake makubwa yalikuwa ni kuhimiza wanaume kuto kusex kabisa.

Kuna comment za kuchekesha sana kwenye uzi ule. Lakini kabla sijaendelea zaidi. Embu tafakari haya maswali yafuatayo hapa chini.

1. Kwanini video za pornography ni free? Wakati huo huo kukosoa serikali inaweza kugharimu maisha yako?

2. Kwanini nchi nyingi za magharibi na hata huku kwetu wanapitisha sheria za kuruhusu ushoga na ndoa za jinsia moja?

3. Kwanini social medias nyingi zinachochea contents za mambo ya ngono?

4. Kwanini habari za ngono na ambacho wanaita connection huwa zinapata umaarufu sana?

5. Kwanini mwanaume akishaanza kupenda ngono hawezi kuridhika nayo? Yaani unavofanya zaidi na zaidi ndivo unazidi kupenda zaidi na zaidi?

Majibu ya haya maswali yapo kwenye 'shahawa' za mwanaume. Mwanaume anayepoteza shahawa zake kwa kasi anakaribisha udhaifu na kutawaliwa.

Kuna story nyingi za wanaume kuwekewa mtego kupitia mwanamke. Kwa sababu tayar walikuwa ni watu dhaifu kutokana na kutoa shahawa zao kwa kupenda kufanya ngono.

Naendelea kama ifuatavyo.... Lengo kubwa haswa la watawala wa dunia, ni kuendelea kutawala na kubakia madarakani wao na jamii zao.

Kwa maana hiyo basi, kwa sababu wanaume ndo jinsia korofi hapa duniani, maana yake ili kumfanya huyu mwanaume kuwa dhaifu, ni lazima uweze kuiteka akili yake na ikiwezekana umpunguze nguvu zake.

Ni labda nikikuuliza swali, ulishawahi kuona mashoga wakipigania chochote zaidi ya haki zao za ushoga? Maana yake ni kwamba mwanaume akishakuwa controlled anakuwa hana thamani tena na ndio inakuwa rahisi kumtawala.

Labda nikuulize ni kwanini pornography imekuwa ni rahisi sana kupatikana na pia ni kwanini mitandao ya kijamii inachangia kueneza maudhui ya ngono? Ni kwasababu, maudhui yenye ngono yanachangia pia pakubwa kwa wanaume kujihusisha na vitando vinavowafanya kutoa shahawa zao.. vitendo kama punyeto na umalaya, na hilo ndilo lengo haswa... wanaume watoe shahawa zao kwa wingi ili wawe dhaifu.

Mfano mdogo tu, wanaume wengi wanaopiga punyeto wamekuwa mwisho wa siku wakilalamika kwamba punyeto inachangia kuwaharibu kisaikolojia... na hili pia ni lengo.. kuharibu mwanaume kisaikolojia maana yake ni kumfanya azidi kuwa dhaifu.

Sina maana watu wasi sex
Naona kuna wadau wamenielewa vibaya, sizuii watu kusex, ila nnachomaanisha ni kwamba kama ni kusex nadhani Mungu ametueleza vizuri kabisa, shahaza za mwanaume zimwagwe kwenye uke mmoja tu ambao ndo mke wako.. kuzitapanya kwa punyeto au kwa umalaya kila kona ndo kutu kinakaribisha udhaifu ambao ndio nauzungumzia.

Watoto wa kiume walindwe..
Kama mzazi wa mtoto wa kiume unataka kulea mwanaume kidume haswa mwenye akili nyingi, kiumbe asiyeweza kuwa manipulated na kutishwa na yeyote, huyo mwanaume ni yule pekee ambaye hamwagimwagi hovyo shahawa zake.

Waepuke wanao na mitandao ya porn, waepushe wanao ikiwezekana na matumizi ya simu mpaka walau miaka 20, waepushe wanao na mazingira ambayo yatawafanya waone kufukuzia mademu ni kitu cha kawaida. Kwa ufupi kuna mambo mengi sana ambayo mwanaume ama hata mvulana mdogo wanaweza kufanya mbali na kukimbilia mambo yanayohatarisha shahawa zao.

Hili suala la shahawa lina uhusiano wa kiroho pia, wanasema mwanaume ambaye sio malaya ama yule anaye mwaga shahawa hovyo hovyo ni ngumu sana kulegeka ki uchawi.. wakati mwanaume ambaye amezitoa hovyo hovyo shahawa zake, ni mwanaume dhaifu ambaye anaingilika kirahisi kwenye ulimwengu wa roho.
"shahaza za mwanaume zimwagwe kwenye uke mmoja tu ambao ndo mke wako."

Unaweza kuweka mstari unaosema hayo kutoka kwenye biblia?
 
Uzinzi ni starehe yenye gharama kubwa sana duniani kimwili na kiroho.

Uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama, matokeo yake ni ya haraka sana.

Hakuna dhambi ambayo Mungu anaichukia kama uzinzi, na ni dhambi ambayo imeandikwa mara nyingi sana katika vitabu vya dini.

Ushauri tukaze moyo wakuu, tusiziangamize nafsi zetu kwa malaya, fanya kazi kwa bidii wekeza pesa ili uvute mke wako ndani, uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, hakika baraka na neema zitakumiminikia
Amen
 
Bila kumwaga wafilipino kuna raha gani sasa ya tendo utakuwa ujafanya we ndio umefanywa


Mtoa mada pambana na hali yako
 
Moja kati ya Mada bora kabisa JF.
Asante sana mtoa Uzi.

Ila baadhi ya watu ndio watakuelewa ulicho maanisha.

Kwakuwa katika dunia ya sasa kuna watu wa aina mbalimbali na wanaishi dunia mbalimbali.
 
Je wale watu ambao hawana testes au wamefanyiwa vasectomy lakini wanatoa fluid zinazozalishwa katika Cowper's gland na seminal vesicles ambazo ndio hizi ukipiga bao unaziona unawaweka katika kundi gani?
 
Umeingiza mambo ya Dini tena.
Nani kaongelea dini hapa ?

Unafahamu maana ya Nguvu za Kiume ?
Nguvu za kiume sio ubavu wenye nguvu.

Sio mbaya mwulize jirani yako maana ya nguvu za kiume atakuelewesha.
 
Back
Top Bottom