Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #61
Lakini ukichunguza wanaozitoa usingizini ni wale watu wanashinda kutwa nzima kuangalia pornVip zikitoka ukiwa usingizini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ukichunguza wanaozitoa usingizini ni wale watu wanashinda kutwa nzima kuangalia pornVip zikitoka ukiwa usingizini...
Hebu nipe maelekezo huko twitan napataje hizo pisi?Nje ya mada kidogo: Wakuu, Twitter wadada wanajiuza sana🙌
Sawa mushi nimekuelewa,uaminifu uchakue nafasi jaman tutulie na wenza wetuZimwagwe kwa mmoja tu... maana unajua kuna wanaume wao wandhani angali wana mbegu basi wanatiatia tu hovyo au wanapiga punyeto au wanaangaia porn mpaka wanamwaga shahawa zao bure... hiyo ndo haitakiwi.
Shahaa ni kitu cha thamani sana kinatakiwa kulindwa
Hujakatazwa bali ushauri ni kuwa na mpenzi mmoja.sasa ndugu yangu mushi na sisi ambao tuko single inakuwaje
Kwani mwifwa ulimpiga chini mkuu?sawa mushi nimekuelewa,uaminifu uchakue nafasi jaman tutulie na wenza wetu
Yap ndo msingi mkubwa wa hii mada...Ukimwagia mwanamke nanili tayarivwewe ni dhaifu kwake...akitaka chochote utampa tu kwani umeshakuwa dhaifu kwake😂
Naantombe Mushi
Raha ya kupanda mlima ufike kileleniMfanye lakini msikojo.e
"shahaza za mwanaume zimwagwe kwenye uke mmoja tu ambao ndo mke wako."Kuna uzi uliwahi kuletwa humu jukwaani ukiwa na jina la 'No fap challenge'. Kwa haraka haraka ulikuwa unaonekana kwamba ni uzi wa kipumbavu na wakujifurahisha.
Ambao hawakubahatika kusoma uzi huo, maudhui yake makubwa yalikuwa ni kuhimiza wanaume kuto kusex kabisa.
Kuna comment za kuchekesha sana kwenye uzi ule. Lakini kabla sijaendelea zaidi. Embu tafakari haya maswali yafuatayo hapa chini.
1. Kwanini video za pornography ni free? Wakati huo huo kukosoa serikali inaweza kugharimu maisha yako?
2. Kwanini nchi nyingi za magharibi na hata huku kwetu wanapitisha sheria za kuruhusu ushoga na ndoa za jinsia moja?
3. Kwanini social medias nyingi zinachochea contents za mambo ya ngono?
4. Kwanini habari za ngono na ambacho wanaita connection huwa zinapata umaarufu sana?
5. Kwanini mwanaume akishaanza kupenda ngono hawezi kuridhika nayo? Yaani unavofanya zaidi na zaidi ndivo unazidi kupenda zaidi na zaidi?
Majibu ya haya maswali yapo kwenye 'shahawa' za mwanaume. Mwanaume anayepoteza shahawa zake kwa kasi anakaribisha udhaifu na kutawaliwa.
Kuna story nyingi za wanaume kuwekewa mtego kupitia mwanamke. Kwa sababu tayar walikuwa ni watu dhaifu kutokana na kutoa shahawa zao kwa kupenda kufanya ngono.
Naendelea kama ifuatavyo.... Lengo kubwa haswa la watawala wa dunia, ni kuendelea kutawala na kubakia madarakani wao na jamii zao.
Kwa maana hiyo basi, kwa sababu wanaume ndo jinsia korofi hapa duniani, maana yake ili kumfanya huyu mwanaume kuwa dhaifu, ni lazima uweze kuiteka akili yake na ikiwezekana umpunguze nguvu zake.
Ni labda nikikuuliza swali, ulishawahi kuona mashoga wakipigania chochote zaidi ya haki zao za ushoga? Maana yake ni kwamba mwanaume akishakuwa controlled anakuwa hana thamani tena na ndio inakuwa rahisi kumtawala.
Labda nikuulize ni kwanini pornography imekuwa ni rahisi sana kupatikana na pia ni kwanini mitandao ya kijamii inachangia kueneza maudhui ya ngono? Ni kwasababu, maudhui yenye ngono yanachangia pia pakubwa kwa wanaume kujihusisha na vitando vinavowafanya kutoa shahawa zao.. vitendo kama punyeto na umalaya, na hilo ndilo lengo haswa... wanaume watoe shahawa zao kwa wingi ili wawe dhaifu.
Mfano mdogo tu, wanaume wengi wanaopiga punyeto wamekuwa mwisho wa siku wakilalamika kwamba punyeto inachangia kuwaharibu kisaikolojia... na hili pia ni lengo.. kuharibu mwanaume kisaikolojia maana yake ni kumfanya azidi kuwa dhaifu.
Sina maana watu wasi sex
Naona kuna wadau wamenielewa vibaya, sizuii watu kusex, ila nnachomaanisha ni kwamba kama ni kusex nadhani Mungu ametueleza vizuri kabisa, shahaza za mwanaume zimwagwe kwenye uke mmoja tu ambao ndo mke wako.. kuzitapanya kwa punyeto au kwa umalaya kila kona ndo kutu kinakaribisha udhaifu ambao ndio nauzungumzia.
Watoto wa kiume walindwe..
Kama mzazi wa mtoto wa kiume unataka kulea mwanaume kidume haswa mwenye akili nyingi, kiumbe asiyeweza kuwa manipulated na kutishwa na yeyote, huyo mwanaume ni yule pekee ambaye hamwagimwagi hovyo shahawa zake.
Waepuke wanao na mitandao ya porn, waepushe wanao ikiwezekana na matumizi ya simu mpaka walau miaka 20, waepushe wanao na mazingira ambayo yatawafanya waone kufukuzia mademu ni kitu cha kawaida. Kwa ufupi kuna mambo mengi sana ambayo mwanaume ama hata mvulana mdogo wanaweza kufanya mbali na kukimbilia mambo yanayohatarisha shahawa zao.
Hili suala la shahawa lina uhusiano wa kiroho pia, wanasema mwanaume ambaye sio malaya ama yule anaye mwaga shahawa hovyo hovyo ni ngumu sana kulegeka ki uchawi.. wakati mwanaume ambaye amezitoa hovyo hovyo shahawa zake, ni mwanaume dhaifu ambaye anaingilika kirahisi kwenye ulimwengu wa roho.
Barikiwa sana mkuu. Mwenye sikio na asikie na mwenye kushupaza shingo ajiandae kuvunjikaMalizia.uzi mkuu... sijasema watu wasisex kabisa...
Usizimwage hovyo shahawa.. zimwage sehemu moja kwa mtu ambaye nguvu zake na zako zinaendana... ndo tafsiri ya kwanini uwe na mke...
AmenUzinzi ni starehe yenye gharama kubwa sana duniani kimwili na kiroho.
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama, matokeo yake ni ya haraka sana.
Hakuna dhambi ambayo Mungu anaichukia kama uzinzi, na ni dhambi ambayo imeandikwa mara nyingi sana katika vitabu vya dini.
Ushauri tukaze moyo wakuu, tusiziangamize nafsi zetu kwa malaya, fanya kazi kwa bidii wekeza pesa ili uvute mke wako ndani, uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, hakika baraka na neema zitakumiminikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kumwaga wafilipino kuna raha gani sasa ya tendo utakuwa ujafanya we ndio umefanywa
Mtoa mada pambana na hali yako
😂😂😂😂😂Kwani mwifwa ulimpiga chini mkuu?
Nijilipue?🤣