Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

Good News! Safi Sana! Hatimaye unyama wa serikali nje nje tu. Uovu wao unajianika wazi mbele ya watu wa dunia ya kwanza. Katika mafunzo yao ya kazi hakuna kitu 'taratibu'. Kwao kila kitu wao ni matumizi ya nguvu za ziada ni 'piga ua'. Wacha waumbuliwe na kufedhehesha mabosi wao akina 'Liwalo na liwe bin Piga ua tu'!
si unafahamu kua wanaoenda upolice mara nyingi ni wale failures. Ukishakua hukubaliki vyuoni au mashuleni kwa pass zako basi haraka sana utataka kuingia jeshi au police na hasa hivi vyeo vya chini. Sasa watu wa aina hii hata wakipelekwa darasani sijui kama wanaweza kuelewa. awajui muda gani wanapaswa kutumia nguvu na wapi hapahitaji nguvu wao walivyokariri hawataki kabisa kubadilika. Mkuu bado tunayo safari ndefu ya kuibadili tz iwe kisiwa cha amani kweli kweli
 
si unafahamu kua wanaoenda upolice mara nyingi ni wale failures. Ukishakua hukubaliki vyuoni au mashuleni kwa pass zako basi haraka sana utataka kuingia jeshi au police na hasa hivi vyeo vya chini. Sasa watu wa aina hii hata wakipelekwa darasani sijui kama wanaweza kuelewa. awajui muda gani wanapaswa kutumia nguvu na wapi hapahitaji nguvu wao walivyokariri hawataki kabisa kubadilika. Mkuu bado tunayo safari ndefu ya kuibadili tz iwe kisiwa cha amani kweli kweli

Na kweli kabisa waliokuwa wakienda Upolisi walikuwa ni wale wachovu na choka mbaya ki akademia. Lakini ukweli jeshi letu la polisi linahitaji 'Reformation' ya hali juu kabisa ili liweze kukubalika kiviwango, displine na hadhi ya utendaji wa ki profesheni na unaoaminika kwa umma. Kwa sasa limekuwa ni jeshi la polisi 'muflisi' kabisa.

Nafikiri pia kuna haja ya kuanzisha programs zenye ku offer majoring in Criminology katika vyuo vikuu vya Tanzania (kama ili ilivyo majuu), ili mwisho wa siku wale graduates ndio wawe recruited kama 'police professional '(waliobobea). Na hii wanafunzi kuiona kuwa kazi ya polisi ni profesheni kama zilivyo fani nyingine badala ya ile picha iliyozoeleka katika jamii kuwa hiyo ni kazi ya vilaza tu (Piga Ua, liwalo na liwe🙂
 
Kwanza tujiulize Kidhungu chenyewe alikielewa? Ukute lilipoona linasemeshwa na Mdhungu likasogea pembeni kama halijasikia kitu! AIBU YAO, AIBU YA DHAIFU! Mapolice wetu wanaogopa Kidhungu ni mwisho. Siku 1 tunatoka Kigoma tunaelekea Kasulu dereva wangu akawa amechoshwa na tabia ya mapoliccm wanaosimama njia panda ya Mwandiga ya kulazimisha lift kwa watu wao. dereva akaniomba nisiongee nao Kiswahili. Nilipotema jamaa alirudi nyuma kwa kasi ya ajabu! Sasa na huyu Form 4 failure nina mashaka kama alikielewa, ndo maana hata mabishano hayakuwapo!

kwa kweli tunavyowadharau,kuwanyali na kuwachukia hawa wana usalama wetu,
sijui huwa wanajisikiaje,
maana mmmh hope iko siku watajirekebisha.
 
kwa kweli tunavyowadharau,kuwanyali na kuwachukia hawa wana usalama wetu,
sijui huwa wanajisikiaje,
maana mmmh hope iko siku watajirekebisha.
Acha tuyasilibe mkuu! Sisi sasa tumechoka nao kabisaaaa!
 
....

Mwanausalama wa Marekani alienda mbali zaidi kwa kumwambia:
"Ndivyo mnavyofundishwa katika utendaji wenu"? Mwanausalama huyo wa Obama alikasirishwa sana na kitendo kile cha udhalilishaji kilichofanywa na mwanausalama wa Tanzania, akaamua mwandishi Selina Wilson aingie kufanya kazi yake kwa vile jina lake lipo.....


Chanzo: http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/13683-rais-oboma-atua-dar-na-familia-kwa-kishindo

Aisee .....! yaani ....kumbe nchi ilikuwa mateka wa Marekani kwa siku mbili !!?
 
Wacha uzushi wewe ulikuwa wapi wakati huo,Na mtato mengi sana kwa ujio ule.Tumewazoeya
Yaani chanzo cha taarifa cha Habari Leo ni wazushi...hacha kuidharirisha serikali ya Chama chako inayoratibu utendaji wa chanzo hiki cha habari.
 
Back
Top Bottom