Kwanza tujiulize Kidhungu chenyewe alikielewa? Ukute lilipoona linasemeshwa na Mdhungu likasogea pembeni kama halijasikia kitu! AIBU YAO, AIBU YA DHAIFU! Mapolice wetu wanaogopa Kidhungu ni mwisho. Siku 1 tunatoka Kigoma tunaelekea Kasulu dereva wangu akawa amechoshwa na tabia ya mapoliccm wanaosimama njia panda ya Mwandiga ya kulazimisha lift kwa watu wao. dereva akaniomba nisiongee nao Kiswahili. Nilipotema jamaa alirudi nyuma kwa kasi ya ajabu! Sasa na huyu Form 4 failure nina mashaka kama alikielewa, ndo maana hata mabishano hayakuwapo!