Mwanawake: Kwani haiwezekani kupiga Picha bila kuonesha makalio?

Mkuu Hilo swali lko humo humo ndan ya maelezo ya thread ako ypo majibu ten ykuelewek.mfano ujib mwenyew kuw"wanafany hvyo kwasabab;
1.ya matangazo(ni wazi kuw biashar matangazo)
2.ya ushawishi(mvuto ama mwonekano)
 
Duuh basi nakubaliana na ile kauli ya saikolojia ya mwanamke ni ngumu Sanaa kuielewa
 
Umeandika kama mshamba aliyewasili jana usiku akitokea Sigimbi. Basi piga wewe usioneshe makalio.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…